Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Mawazo kama haya ndiyo yanaifanya Tanzania iendelee kubaki ilipo.Tanesco mpo!! play your part yasije wakuta yaliyomkuta Tido Mhando
Mawazo kama haya ndiyo yanaifanya Tanzania iendelee kubaki ilipo.Tanesco mpo!! play your part yasije wakuta yaliyomkuta Tido Mhando
Mambo yanazidi kubadilika mlichobakiza nyie ni kujivunia kumbukumbu.....maana hata KANU huwa wanasema hivyo hivyo mwaka 2002 tulishindaga uchaguzi.Majivuno haya hata Igunga ilikuwa hivi hivi.Tusubiri tuone usihesabu vifaranga kabla ya kutotolewa Mkuu!!
- Mkutano kurushwa LIVE na STAR TV na pia kurushwa LIVE kupitia Internet CHADEMA TV (Online)
- Maandamano ya kufa mtu - Kutoka njia mbili: USA river na KIKATITI.
- HELCOPTER (CHOPPER) mwanzo mwisho
- WASHILI na WAZEE wote kuhudhuria na kumtamka rasmi mgombea wa CHADEMA Joshua Nassari kuwa ndio chaguo lao
- Hivi sasa Watu kutoka pande zote za jimbo la meru wanaanza kufika USA kwa ajili ya uzinduzi
- Wapiganaji kutoka Karatu, Longido, Moshi, dodoma, Zanzibar, DSM na maeneo mengine wameshafika na wengine kufika kesho kujiunga na kambi
Igunga na uzini ilikuwa hivi hivi .
wakati umewadia wa kupata viongozi na sio watawala
Mfa maji- Mkutano kurushwa LIVE na STAR TV na pia kurushwa LIVE kupitia Internet CHADEMA TV (Online)
- Maandamano ya kufa mtu - Kutoka njia mbili: USA river na KIKATITI.
- HELCOPTER (CHOPPER) mwanzo mwisho
- WASHILI na WAZEE wote kuhudhuria na kumtamka rasmi mgombea wa CHADEMA Joshua Nassari kuwa ndio chaguo lao
- Hivi sasa Watu kutoka pande zote za jimbo la meru wanaanza kufika USA kwa ajili ya uzinduzi
- Wapiganaji kutoka Karatu, Longido, Moshi, dodoma, Zanzibar, DSM na maeneo mengine wameshafika na wengine kufika kesho kujiunga na kambi
Chadema mmeanza tambo zenu. Hatutaki kusikia mambo ya kuchakachuliwa mbele ya safari. Badala ya kujipanga kusimamia na kulinda kura zenu nyie mnakazana kushabikia umati wa watu.
Mkuu, kwa hiyo mtasomba watu kutoka kila mkoa kwenda kufanya huo uzinduzi ambao haujawahi kutokea Arumeru..
Katika huo uzinduzi wenu robo tatu watakaokuwepo ni wageni kutoka nje ya Arumeru.
Robo ndio wapiga kura wa Arumeru, mwisho wa siku matokeo yakitoka mtasema kura zimeibiwa haiwezekani mikutanoni tulikuwa na watu wengi tupate kura chache.
Jipangeni vizuri sio kupeana matumaini humu JF kura zinapigiwa Arumeru sio JF.