Uzinduzi wa call centre ya Jeshi la polisi na changamoto zinazowakabili polisi wetu

dyeanka

Member
Jun 19, 2016
96
70
Siku ya leo Rais Dr. John Magufuli atazindua kituo cha call centre kwaajili ya kuleta ufanisi wa Utoaji huduma kwa jeshi la polisi hasa pale panatokea matukio ili jeshi liwezi kupata taarifa na kutoa huduma haraka iwezekanavyo.

Jambo muhimu hapa ni kuangalia je serikali wamejaribu kuangalia changamoto zinazowakabili polisi husani makazi ya polisi? Kwani niukweli kwamba yawezekana yawezekana serikali ikaweka miundombinu bora sana lakini bila kungalia changamoto hizi yawezekana jitihada hizi zisizae matunda hasa kumuhudumia mwananchi.

Wito wangu kwa serikali ni kuangalia changamoto hizi za jeshi la polisi hasa kwa kuboresha makazi yao lakini pia ikumbukwe kwamba kuboresha kazi ya Jeshi sio tu kwa mkoa wa Dar es salaam bali iwe ni kwa nchi nzima hasa mikoa ya pembezoni.

Mabadiliko hayaepukiki kutokana Mabadiliko ya duniani ya technology.
 
Siku ya leo Rais Dr. John Magufuli atazindua kituo cha call centre kwaajili ya kuleta ufanisi wa Utoaji huduma kwa jeshi la polisi hasa pale panatokea matukio ili jeshi liwezi kupata taarifa na kutoa huduma haraka iwezekanavyo.

Jambo muhimu hapa ni kuangalia je serikali wamejaribu kuangalia changamoto zinazowakabili polisi husani makazi ya polisi? Kwani niukweli kwamba yawezekana yawezekana serikali ikaweka miundombinu bora sana lakini bila kungalia changamoto hizi yawezekana jitihada hizi zisizae matunda hasa kumuhudumia mwananchi.
Hakuna kitu, mtaniambia! Hakuna anayesema ukweli maana wanaogopa kumwambia kuwa Mh. tupitie hapa huku kuna miiba!
 
Hakuna kitu, mtaniambia! Hakuna anayesema ukweli maana wanaogopa kumwambia kuwa Mh. tupitie hapa huku kuna miiba!
ha ha ha ha.... ama kweli yamewafika hapaaa!!!. yaan hakuna lolote linaweza fanywa na serikali wapinzani waka appreciate. sasa vituo ndo vinafunguliwa we ushaanza kusema hakuna kitu!.. kweli mwenye husda, hata kama unacheza kwenye maji atakwambia unamtimulia vumbi.
 
ha ha ha ha.... ama kweli yamewafika hapaaa!!!. yaan hakuna lolote linaweza fanywa na serikali wapinzani waka appreciate. sasa vituo ndo vinafunguliwa we ushaanza kusema hakuna kitu!.. kweli mwenye husda, hata kama unacheza kwenye maji atakwambia unamtimulia vumbi.
History speaks for itself. Ni sheria ya historia, inatuonyesha hivyo! In addition to that, the current trend of governance dictates that!
 
Siku ya leo Rais Dr. John Magufuli atazindua kituo cha call centre kwaajili ya kuleta ufanisi wa Utoaji huduma kwa jeshi la polisi hasa pale panatokea matukio ili jeshi liwezi kupata taarifa na kutoa huduma haraka iwezekanavyo.

Jambo muhimu hapa ni kuangalia je serikali wamejaribu kuangalia changamoto zinazowakabili polisi husani makazi ya polisi? Kwani niukweli kwamba yawezekana yawezekana serikali ikaweka miundombinu bora sana lakini bila kungalia changamoto hizi yawezekana jitihada hizi zisizae matunda hasa kumuhudumia mwananchi.

Wito wangu kwa serikali ni kuangalia changamoto hizi za jeshi la polisi hasa kwa kuboresha makazi yao lakini pia ikumbukwe kwamba kuboresha kazi ya Jeshi sio tu kwa mkoa wa Dar es salaam bali iwe ni kwa nchi nzima hasa mikoa ya pembezoni.

Mabadiliko hayaepukiki kutokana Mabadiliko ya duniani ya technology.


Kwa hiyo ulifikiri hizo changamoto wewe ndiyo unazifahamu na Serikali pamoja na Vyombo vyake vya Usalama havifahamu?
 
Mh Rais tunaomba uwape onyo UKAWA! Maana wakisikia hotuba yako wanachanganyikiwa!
 
History peaks for itself. Ni sheria ya historia, inatuonyesha hivyo! In addition to that, the current trend of governance dictates that!
Ni kweli, History picks for itself. wapinzani hupinga kila kitu hata kama hawana uhakika na maneno yao. alaf wwakiwa prove wrong wanaingia mitini. mfano, ''walisema mradi wa mabasi yaendayo kasi hauwezi kufanikiwa, serikali imetutia hasara kujenga mabarabara yasiyo na faida''. mradi umeanza na una progress nzuri sasa wameingia mitini. huwezi kuwasikia wakizungumzia.

naamini hata katika hili likifanikiwa hutaonekana hapa kuponda wala kupongeza. Watanzania tushawajua maadui zetu katika maendeleo, na adhabu yenu inaandaliwa 2020. haiwezekani mtu afanye mambo ambayo tulikuwa tukiyalilia kwa zaidi ya miaka 10, alaf leo mgeuke tena kuyaponda. nyie ndo maadui wa inch hii.
 
Kwa hiyo ulifikiri hizo changamoto wewe ndiyo unazifahamu na Serikali pamoja na Vyombo vyake vya Usalama havifahamu?
Ndio maana tunatoa wito kwa serikali ilikusudi pamoja na maboresho hayo ya Jeshi la polisi kwenye miundombinu na swala makazi ya polisi lipewe kipaumbele
 
Intelijensia si kabla ya tukio??jiongezeni nyie UKawa

...eti jiongezeni... Sasa wewe mtu anakwambia call centre ya nini na wakati polisi huwa wanatamba kwamba wana intelijinsia, wewe unamuwakia eti intelijinsia si ni kabla ya tukio! Sasa hilo tukio linatokea kwanini kama kuna intelijinsia? eiish!
Acha kukurupuka, wewe ungekuwa umejiongeza ungemjibu call centre inaweza ika-save pia yale matukio ambayo ni instantaneous, domestic, na mengine ambayo hayapati intelijensi.
Kwa majibu yako ya kukurupuka, watu wataishia kuona kwamba huu mkakati wa polisi umelenga kusubiri tu matukio yatokee kwanza ndio wayashughulikie.

Mkuu Paul Alex labda kweli tunatakiwa kujiongeza, huku kwenye hizi keyboard sijui kama tutafika aisee, nafikiri kunatakiwa kuwe na mkakati wa makusudi kabisa wa kuondoka nyuma ya hizi keyboard kwenda kuwaelimisha watanzania ambao ndio 'wapiga kura' walio wengi kabisa huko vijijini wapate kujanjaruka kama wewe mkuu. Lasivyo fisi atalimiliki hili butcher mpaka siku ya kiama.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom