mazojms
JF-Expert Member
- Sep 22, 2017
- 1,607
- 2,481
Nakumbuka shule ya msingi ukiambiwa kutunga sentesi majina huwa ni asha, aisha, juma, rebecca, musa.. hapo inamaanisha wametunga sentesiHivi inakuwaje kila mtu ktk story yake ya mapenzi wamewahi kutoka na jina Aisha.