Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,399
Yan nilipewa tu ulendeleo kunako pururu ikawa tamu vyote nikanyimwa ila hapooo hata usemeje huwez badilishaa tamu yanguuu
uliongeza sukari?
uliongeza sukari?
Nakukubari sana...huwa hujali macho ya watu
Ila kwa hiyo mitaaaa na hicho kiepee hahahahha sitaki kukataaa lazima wajigongeee
Diary kuna mpenz wangu aliifumania na kuchana chana kila kitu mkuu sina tenaHuandikagi kwenye diary?
Ulitegemea niumizwe tuu
Fala sana aiseeNi wivu tu
Fala sana aiseeNi wivu tu
Fala sana aisee
Wewe ndiyo sikuwezi kabisaaaaaaa
Yani unapitaga kimya kimya unachek ndege wanavyonishambulia alafu hawana soko ndege walaaa vinyesii hallllooooh
Watapata tabu sanaaaaaaaaaa
Demiss mwenye tamuuuuuuuu yakeeee
Mungu anakuona1.Jaman Yohhana mwanajeshi nahisi Karma yako kwangu inafanya kazi
2.Edwin poleee sana
3.Mwanajf fulan pole endelea kuniponda kwenye comment nishakuacha
4.Amossy
5.Kareem
6.Solomon
7.Emaa boy
8.John
9. COUNSELLOR......
10.Angelo..
Duhh nimechoka hakika nimechoka kuwataja
Demiss dear umemuacha mmoja
Demiss dear umemuacha mmoja
KRudi sasa hivi
Nimeumiza na nimeumizwa.
Nimeona bestHahahahaha Wewe Brother D looh mganda yule jaman alisikitika nilivyohamishwa shule poleee huko uliko nasikia ulirud kampala
Ww ni nomaNaomba nisitaje, ila nimeshatubu Mungu amenisamehe.
Ulale unono.Leo hjapata danga la usiku.Mm nalala kesho by
.Ww ni noma
But miss u B jaman! Kwann unanifanyia hivi