rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,491
- 41,904
Uzi huu ni kwa ajili ya Kutaja majina ya watu uliowahi kuwaumiza kimapenzi..yani Uliwamwaga au ulimmwaga wakati yeye kakolea balaa akwa anakutxt hujibu..piga simu hupokei mpaka wengine hujitishia kujiua!! Ebu comment jina lake tuone..
Me ni aneth na neema hawa naomba wanisamehe tu sikupanga kuwaumiza ila ndo maisha
Me ni aneth na neema hawa naomba wanisamehe tu sikupanga kuwaumiza ila ndo maisha