Uzi wa vyakula tu

Mimi siyo dokta ila ni mdau ninaependa kufuatilia masuala.

Haina umuhimu sana wa kujua portions.Cha muhimu kabisa ni kujua yale makundi saba ya mlo kamili na kuhakikisha kuwa unakula vyakula vya makundi hayo mara kwa mara bila kukaa muda mrefu bila kula kundi la chakula fulani.
Portions ni muhimu pia chief. Unapokula in excess to what is required nayo ni harmful.
 
Mlenda kabichi ugali
20211208_212800.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom