Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,194
- 11,589
Usisahau kutupiamo hapa nasi tuige mealsMeamka na mood kabisa leo..ngoja niendelee utanikuta January ntakuwa naku motivate
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisahau kutupiamo hapa nasi tuige mealsMeamka na mood kabisa leo..ngoja niendelee utanikuta January ntakuwa naku motivate
Hivi kisamvu na pilau huwa vinanoga?
Kwanini
Rosela na chungwa 😋🥰 ni nzuri Sana.Ukitengeneza juice ya rosela au ubuyu unaweza weka mchaichai pale unapochemsha juice inavutia sana
Tips: 1; Akandie butter au margarine yoyote, dough liwe laini lakini lisilonata mikononi wala sehemu ya kusukumia (tunasema dough limeiva)
2; Asikate chapati ndogo ndogo/ nyembamba, Chapati zake ziwe zina kauzito fulani, sio kama zile za kwa mama niwekee.
3; achomee butter au hata mafuta ya kawaida, ila pan inaweza mbadilishia matokeo, atafute pan moja nzito na non stick.
Vikorombwezo vingine kama kukandia maziwa au nazi havibadili muonekano bali zinaongeza ladha. Btw, Hizo chappo kwenye picha mwenye nazo hongera zake, mimi zangu ni nzuri lakini sio kama hizo za kwenye picha nadhani nimeshaweka picha humu za chappo moja au mbili.