Pale unapoamua kuunganisha breakfast na lunch pamojaView attachment 1989623
Bismillah!
Mama yeyoo lasima irushe maji
Urojo wa kichina huo usituletee tabu
Naloli eeh Naloolii ,aliskika Burna Boy.Mbombo jilipo
He! Sasa urojo wa kichina viiipi ankali wakati nimeupata Unguja yakheee, au kwa vile nimesema mie amiii?Urojo wa kichina huo usituletee tabu
Kula urojo shekhe ukilendemka urukiwe tu.He! Sasa urojo wa kichina viiipi ankali wakati nimeupsta Unguja yakheee, au kwa vile nimesema mie amiii?
Urojo wachagua weye ati wakutilie vitu gani, kama wataka mdalasini, kachori, mishkaki, mayai, mbatata, saladi. Chips za mihogo..hebu usinshughulishe.
Watakwambia sisi hatuli urojo, kumbe hawajui kuwa ni viazi mixer
Pakua weka kwenye sahani kwanini unakula kwenye sufuria?