Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,538
- 13,000
Chapo mraruko... 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ni vinin?Hapa solo, staki story!
View attachment 1875923
Kwa Dar kinapatikana wapi mkuu?
Huyo alie pika hicho chakula hata nikimpa mahali milioni tatu ni sawa kabisa maaana si nitajenga shavuChapo mraruko...
View attachment 1876704
Umenikumbusha leo hii hii nalala nayo mbere.Mihogo ni chakula kitamu jaman ukipata ile milaini either ichemshwe unywe na chai au ikaangwena kachumbari au chachandu
Pia n chakula ambacho kinaweza kuliwa muda wowote asubuh mchana jion au usiku
Binafsi napenda Sana mihogo.
Hii tumetengeneza wenyeew nyumbani...lakin bar nyingi za kimara,mbezi kisusiio kipoooKwa Dar kinapatikana wapi mkuu?
Mimi natengenezaKwa Dar kinapatikana wapi mkuu?
Mmetengeneza nyumbani, nyumbani ni wapi tuje kuchukua?Hii tumetengeneza wenyeew nyumbani...lakin bar nyingi za kimara,mbezi kisusiio kipooo
🏃🏃🏃Mimi natengeneza
Hautaki?
kiwembe kimefanya yake
Kwa wewe sitaki!😁😁😁Hautaki?
Njoo makabeMmetengeneza nyumbani, nyumbani ni wapi tuje kuchukua?
Kwahiyo Kumbe nivunje tu ukaka.Kwa wewe sitaki!
Nisije kuja nikakuta sahani tupuNjoo makabe