chivala
JF-Expert Member
- Apr 13, 2021
- 772
- 2,332
Hii wali kwa samaki, ilinifanya niimezee mate mapande ya samaki.
Hii wali kwa samaki, ilinifanya niimezee mate mapande ya samaki.
Ndivyo inavyopaswa, wali usiwe mkavu sana. Yaani hapo mchezo laini laini! 🤣😃😃 zito sana yani, wali wote unapotelea humo
Beef hiyo, sio samaki mkuu!Hii wali kwa samaki, ilinifanya niimezee mate mapande ya samaki.
Hii kitu Panya, nani hajaionja?View attachment 1871172View attachment 1871173View attachment 1871175View attachment 1871176
Ndio zake huyooChief! Daah! Yaani unanionesha hotfire kweli? Si halali kwa upande wangu hivyo!
Sasa matusi sio poa mkuu, watu wako tofauti hii dunia, na vyakula havilingani kamwe, everyone's got his/her own taste na tukiletewa hapa kuviona, mbona sio shida kwangu personally coz ndio tunajifunza tusiyoyajua kuhusu vyakula vya aina mbali mbali duniani. ✌️Tushasema hapa we pumbavu
Huu ni "UZI WA VYAKULA TU"
Inakuwaje unatuletea takataka zingine hapa Kmmk,
Lete vyakula sio huu upuuzi wako umeweka hapo kula na ukoo wako we nyau.
Sasa hapo tunaongea lugha moja
Weka maneno..