Uzi wa vyakula tu

Leo bilabila
giphy.gif
Hii supu ya maji nini?
 
Unaitwa Mnavu, hii ni mboga ya watu wenye asili ya tanga(wazigua) Mnavu mbali na utamu wake, lakini tena huongeza damu kwa watu wenye matatizo ya kupungukiwa na damu na hata maafisa wa afya huwashauri wananchi kutumia mboga ya mnavu ili kuinarisha MFUMO wa damu yao mwilini.View attachment 1871221
Ndio ndio. Hapa Arusha wanalima sana na ni maarufu hii mboga, ni tamu hakika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom