Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,900
- 95,400
Jamaa akileta Paka unaondoka.
Jamaa akileta Paka unaondoka.
Matunda, nayakubali!@CHSS CAFETERIA 1 View attachment 1870037
😂 😂 😂Baada ya huo mlo ukijamb@ huo ufyuzi unaotoka harufu yake ni zaidi ya conc. Sulphuric acid dadadadeq!
Sijapenda hapo ulipojifananisha na mbuzi!Ujue kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake.
Yawezekana kamba yangu ni fupi
Sent using Jamii Forums mobile app
Emiir wa chura! Vipi lakini ana chura?Mimi ndiye kaka yake,nakupa bure kabisa huyu msumbufu wala simtaki tena hapa nyumbani.Mahari ni kajogoo kamoja tu mkuu
Ni msumbufu sana hapa nyumbani,huyo mahari yake ni Paka mmoja tu.Emiir wa chura! Vipi lakini ana chura?
Usiku tulivuView attachment 1870743
Hata kama, ujue nakupenda hadi naumwa!! Hapa nimetoka kuzunguka majalala yote, lakini nashangaa paka hawaonekani
Nyama nzuri ila bucha halihamasishiKitaani kwetu
View attachment 1861966