Uzi wa vyakula tu

Siyo sembe tu.Mbeya ina utamaduni wa hovyo sana wa kula vyakula vya hovyo sana,mara vyakula vingine vya wanga mnaloweka kwanza kwenye maji kwa muda fulani ili kuondoa virutubisho.Ni utamaduni wa hovyo kabisa.

Imagine Mbeya ndiyo inaongoza kwa kuzalisha chakula hapa nchini lakini pia inaongoza kwa tatizo la udumavu.Tumia elimu uliyonayo usalimike kwenye haya masuala ya lishe.
Kitu kama hiyo nimeiona Iringa, wahehe mahindi kabla ya kusagwa, huyavundisha kwenye maji baada ya hapo ndio wanaanika na kusagwa unga, huwo ugali wake ukipikwa unanukia uvundo.
 
Siyo sembe tu.Mbeya ina utamaduni wa hovyo sana wa kula vyakula vya hovyo sana,mara vyakula vingine vya wanga mnaloweka kwanza kwenye maji kwa muda fulani ili kuondoa virutubisho.Ni utamaduni wa hovyo kabisa.

Imagine Mbeya ndiyo inaongoza kwa kuzalisha chakula hapa nchini lakini pia inaongoza kwa tatizo la udumavu.Tumia elimu uliyonayo usalimike kwenye haya masuala ya lishe.
Umetuchamba
Ukitoa ugali wa hovyo,kingine kipi tunakula Cha hovyo?
 
.
IMG_20210723_202054_1.jpg
IMG_20210723_202246_2.jpg
IMG_20210723_203148_8.jpg
 

Similar Discussions

64 Reactions
Reply
Back
Top Bottom