Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,538
- 13,001
Mambo ya survival, popote kambi.. 😂
Mambo ya survival, popote kambi.. 😂
Kwani hao wachina wanakula mefi? 😬Mnaopost vidudu humu mnaharibu huu uzi kama unakula hayo madudu bakı nayo tu usituletee hapa "UZİ Nİ VYAKULA TU PUMBAVU"
Unawaamini wachina kwa lolote?niliacha kula kwao nilipokuta buffee wamechoma chura na wamekaanga minyoo🙄Kwani hao wachina wanakula mefi? 😬
🤧🤮🤣🤣🤣Unawaamini wachina kwa lolote?niliacha kula kwao nilipokuta buffee wamechoma chura na wamekaanga minyoo🙄
Karibu 🤣Nimekuja kutafuta njaa
Boss, wew ndo umefanya iviiWachina si wanaigiza hapa? 😂 😂 😂Bonge la menu!
View attachment 1822064
View attachment 1822065
View attachment 1822066
Hilo kongoro zimazima nilipewa Mbeya likanishinda Ilikua Hotel moja maarufu tu pembeni stendi ya nanenane Uyole sikumbuki jina.Mfikemo nafkiri inaitwa
Hahahaha...poleNajuta Kwa Nn Nimekuja Huku,Akiba yangu Iko Matatani.Kibubu Huenda nikakibomoa