Uzi wa vyakula tu

Kunywa kwanza dawa ya kusafisha tumbo ukae siku moja then unywe dawa ya minyoo.

Dawa ya kusafisha tumbo zipo za kienyeji kama huku kwetu umasaini kuna lodwaa au mukutan (hii mukutan usitumie mswahili unaweza kufa 😂). Au za kisasa tumia castor oil. Dawa za minyoo zipo nyingi.

Maji ya kunywa unachanganya na apple ciser vinegar kijiko cha chakula kwa kila glass. Pia maji unakunywa kwa wingi ili usished water weight uwe una loose fat.

Diet unakula low carb food na fruits mara mbili kwa siku asubuhi na jioni/usiku ila angalau iwe ni masaa manne kabla ya kulala. Unaweza ku refer kwenye picha zangu za last week kuona aina ya vyakula unavyotakiwa. Then kula kwa kiasi sio unakula kumaliza.

Kuhusu mazoezi unafanya cardio mara mbili kwa siku asubuhi na jioni kila siku angalau kwa dakika 45. Ukiweza kufanya jogging na kuruka kamba itasaidia zaidi. Jogging unaweza kufanya kwa mtindo wa ku sprint kwa dakika moja then una jog dakika mbili then una sprint tena dakika moja unarudia hiyo sequence kwa dakika 20 hadi 30. Hii ufanye angalau mara moja ila kama unaweza ufanye asubuhi na jioni.

Kumbuka kuwa cardio/aerobics ni lazima hata kama utakuwa umefanya hii ya high intensity.

Ukimaliza week moja usikimbilie kula high carb foods angalau kwa siku 7 nyingine.

Samaki kipande kimoja kwa mlo mmoja kiwe 140grams kama unaweza kupima ila kama huwezi basi kiwe kidogo tu sio mpande mkubwa. Nyanya mbili medium size. Pia kumbuka vyakula vyako hutakiwi kuweka chumvi wala mafuta.

Picha sina ngoja kuna mtu nimuombe anitumie maana nilimtumia. Akituma nitaweka.

Usipo cheat hapo hata siku moja matokeo lazima yawe chanya. Yani lazima ufanikiwe kwa zaidi ya asilimia 80.

Day 1.
View attachment 1814493

Day 2.
View attachment 1814496

Day 3.
View attachment 1814498

Day 4.
View attachment 1814499


Day 5.
View attachment 1814502


Day 6.
View attachment 1814504


Day 7.
View attachment 1814506
nikila hivi naweza kuzimia kwa kutetemeka na njaa
 
20210611_140121.jpg
 
Kunywa kwanza dawa ya kusafisha tumbo ukae siku moja then unywe dawa ya minyoo.

Dawa ya kusafisha tumbo zipo za kienyeji kama huku kwetu umasaini kuna lodwaa au mukutan (hii mukutan usitumie mswahili unaweza kufa 😂). Au za kisasa tumia castor oil. Dawa za minyoo zipo nyingi.

Maji ya kunywa unachanganya na apple ciser vinegar kijiko cha chakula kwa kila glass. Pia maji unakunywa kwa wingi ili usished water weight uwe una loose fat.

Diet unakula low carb food na fruits mara mbili kwa siku asubuhi na jioni/usiku ila angalau iwe ni masaa manne kabla ya kulala. Unaweza ku refer kwenye picha zangu za last week kuona aina ya vyakula unavyotakiwa. Then kula kwa kiasi sio unakula kumaliza.

Kuhusu mazoezi unafanya cardio mara mbili kwa siku asubuhi na jioni kila siku angalau kwa dakika 45. Ukiweza kufanya jogging na kuruka kamba itasaidia zaidi. Jogging unaweza kufanya kwa mtindo wa ku sprint kwa dakika moja then una jog dakika mbili then una sprint tena dakika moja unarudia hiyo sequence kwa dakika 20 hadi 30. Hii ufanye angalau mara moja ila kama unaweza ufanye asubuhi na jioni.

Kumbuka kuwa cardio/aerobics ni lazima hata kama utakuwa umefanya hii ya high intensity.

Ukimaliza week moja usikimbilie kula high carb foods angalau kwa siku 7 nyingine.

Samaki kipande kimoja kwa mlo mmoja kiwe 140grams kama unaweza kupima ila kama huwezi basi kiwe kidogo tu sio mpande mkubwa. Nyanya mbili medium size. Pia kumbuka vyakula vyako hutakiwi kuweka chumvi wala mafuta.

Picha sina ngoja kuna mtu nimuombe anitumie maana nilimtumia. Akituma nitaweka.

Usipo cheat hapo hata siku moja matokeo lazima yawe chanya. Yani lazima ufanikiwe kwa zaidi ya asilimia 80.

Day 1.
View attachment 1814493

Day 2.
View attachment 1814496

Day 3.
View attachment 1814498

Day 4.
View attachment 1814499


Day 5.
View attachment 1814502


Day 6.
View attachment 1814504


Day 7.
View attachment 1814506
Sisi wa kazi za kuchosha akili pia menu ni hii? 😂 😂 😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom