Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,057
- 74,465
We endelea kunitesa tu!Tukiwa tunakusubiri,.
Tuanze na ikiView attachment 1780739
We endelea kunitesa tu!Tukiwa tunakusubiri,.
Tuanze na ikiView attachment 1780739
Wah! 😋🤤View attachment 1781013
View attachment 1781014
Nyama kavu na samaki wa kuchoma mpishi mimi mwenyewe
Nishaweka recipe juu Post numb 18042Nifundishe basii. Lovie
View attachment 1781013
View attachment 1781014
Nyama kavu na samaki wa kuchoma mpishi mimi mwenyewe
Nishaweka recipe juu Post numb 18042
Safiii
Upo vizuriNamna ambavyo mimi hupika kama nahitaji kupika vichache tu
Mahitaji
1.blueband 150gm
2.sukari robo
3.baking powder
4.ngano robo
5. Flavour
6 .yai
Namna ya kuandaa
1.unachukua blueband unaweka kwenye chombo ulichoandaa,unachukua sukari unaimiminia ulimoweka blueband then unachanganya,ukiwa na mixer inakuwa ni rahisi zaidi kama huna unaweza kutumia hata mwiko,unakoroga hadi uhakikishe sukari na blueband vimelainika kabisa ukiishika usisikie ule ugumu ugumu wa sukari,hapa ukitaka vilainike haraka unaweza kuisaga sukari kwenye blenda kabla ya kuchanganya na blueband.then unaweka yai
2.unachukua ngano unachanganya na baking powder(baking powder mi huwa nakadilia tu) then unachukua unga wako unakuwa unaweka kidogo kidongo kwenye mchanganyiko wa blueband na sukari unachanganya unaweka kidogo unachanganya.unachanganya hadi uone havinatii tena mkononi.ukimaliza kukanda mchanganyiko wako hakikisha ukivuta havivutiki,yaani ukivuta vinakatika
3.unaweka flavour uipendayo
4.unachukua kibao unasukuma kama unavyosukuma chapati,usisukume vinene sana au vyembamba sana unaweka vya kati tu,then unaanza kukata,kama una vile vidude vya kukatia unatumia kama huna hata kifuniko cha kopo unatumia
5.una oka kwa moto mdogo sana ni vyepesi kuungua ukizidisha moto.
6.epua subiri vipoe tayari kwa kutafunwa.
Nb.unaweza kutengeneza ukachanganya na maziwa,nazi e.t.c
Nb.ni rahisi kuelewa kwa video kuliko maandishi.
Ni rahisi sana kuvitengeneza hivi vidude
PilipiliTukiwa tunakusubiri,.
Tuanze na ikiView attachment 1780739
Umejihami na vitu conc tayari, safi sana! 👌Pateni viburudisho kwanza.
Hapo kuna juice ya embe ng'ong'o, maji, juice ya embe, smoothie ya parachichi na juu kabisa mtindi View attachment 1781442
Huwa naanza hivyo hivyo, nakuja taratibu!Umejihami na vitu conc tayari, safi sana!
Sometimes vitamu kama hivi muweke na Location kabisa..huwezi jua pengine kuna mdau yuko jiraniView attachment 1781013
View attachment 1781014
Nyama kavu na samaki wa kuchoma mpishi mimi mwenyewe
Naomba idea za menu ya Eid mama..Nishaweka recipe juu Post numb 18042
Mimi naomba mwaliko 😄Naomba idea za menu ya Eid mama..