Uzi wa vyakula tu

Karibu
1620375698435.png
 
Zile za kulia ubwabwa nasema..za njano zile
Nimewaza hivi uchukue uziponde ponde uchanganye na yai alaf ukaange kama chapati au vyovyote vile
Sijui itamake sense kweli ?
Niliwahi kuona mtu anatengeneza namna hiyo ila yeye hakusaga ila alikata kata vipande na kukaanga kama chips vile. Daah maisha kujaribu. Fanya utupe mrejesho.
 

Similar Discussions

64 Reactions
Reply
Back
Top Bottom