Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,056
- 74,465
Chief sio poa kutesana!
Chief sio poa kutesana!
Hahahaha! Pole kamandaChief sio poa kutesana!
na alikua mtamu sana.We dada weee! Nimetamani huyo samaki (Tasi)
Dah,umenikumbusha Mara ya kwanza kusikia nyama ya ulimi nlikua secondary,nkienda grocery kwa uncle akamuambia muhudumu aniletee supu ya ulimi nlikataa.Nliwaza tu ulimi ulivo wa ngo'mbe naulaje.Nkawaambia anipe tu supu ya nyama.Sa hivi ndo nyama yangu.
pata choma yake sasaDah,umenikumbusha Mara ya kwanza kusikia nyama ya ulimi nlikua secondary,nkienda grocery kwa uncle akamuambia muhudumu aniletee supu ya ulimi nlikataa.Nliwaza tu ulimi ulivo wa ngo'mbe naulaje.Nkawaambia anipe tu supu ya nyama.Sa hivi ndo nyama yangu.
Kumbe kuna ya kuchoma pia,ntaitafuta aisee.
Nimetafuta ndizi utumbo mpaka nimechoka....
Umeishia kula nyama jamani
We dada weeee!na alikua mtamu sana.
Mmmhh kasheshe. Mambo ya kula bila nyama au kuku au samaki siyawezi.View attachment 1749820
baada ya kujisosomola na kilo kuongezeka za kutosha now tunaanza tena diet
I love ndizi utumboNimetafuta ndizi utumbo mpaka nimechoka....
kinavutia
Chakula yetu ya kibosho!😋😋😋I love ndizi utumbo View attachment 1750589
I love ndizi utumbo View attachment 1750589
Naam. Kama ulojua mkuu. Na wanavojua kuzipika sasa.Chakula yetu ya kibosho!