Jah bless
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 267
- 439
Hapana mkuu, salama tu brigedi hii.Mkuu kwani vita??
Hapana mkuu, salama tu brigedi hii.Mkuu kwani vita??
Shushia na hii
Moto Fire 🔥 🔥 🔥 👌😋
Kitu cha Potato mash sio?..safi
NaamShushia na hiiView attachment 1719255
Hiyo kitu tamu sana iwe na Nazi aha njegere bhana
Dah wee mwana fundi wallahNaombeni ugali maana kama muonavyo, sato yupo tiariView attachment 1719536
Leo haikuwekwa naziHiyo kitu tamu sana iwe na Nazi aha njegere bhana
Karibu kakaDah wee mwana fundi wallah
AhyaaLeo haikuwekwa nazi
INAVUTIA, SAMAHANI NAOMBA PROCEDURE ZA KUSAGA HIVI VIAZI, ASANTE
UNAFAHAMU JINSI VINAVYOANDALIWA? KWA MUDA MREFU NATAMANI KUJIFUNZAKitu cha Potato mash sio?..safi
Mimi najua kuwa ni viazi hivi vya chipsi vinachemchwa kwa maji chumvi na mafuta kidogo,then baadae vinapondwapodwa na unaweza kuweka na butter(mfano blue band) then mzigo unakuwa sawa.UNAFAHAMU JINSI VINAVYOANDALIWA? KWA MUDA MREFU NATAMANI KUJIFUNZA
ASANTE SANAMimi najua kuwa ni viazi hivi vya chipsi vinachemchwa kwa maji chumvi na mafuta kidogo,then baadae vinapondwapodwa na unaweza kuweka na butter(mfano blue band) then mzigo unakuwa sawa.