Greg50
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 1,953
- 2,428
Paja jina tuu ila sio tamu kiivoSijaona nyama tamu kwenye kuku zaidi ya paja
Paja jina tuu ila sio tamu kiivoSijaona nyama tamu kwenye kuku zaidi ya paja
Wewe wasemaPaja jina tuu ila sio tamu kiivo
Wapenda kuku utawajua tuKabisa rafiki
Mimi nisipokula paja naona kama sijala kuku.
Utajua tu watu walaji wa kuku, ila mini kidari nakifurahia sana vimfupa na pia huwa ni kubwa, kidari kilichochomwa au kukaangwa ni kwikwiWe umeongea
Nahitaj pesa kiasi gani ili nikifika zenji maeneo mazuri mazuri sehemu za kulala nzuri, nipate hata boti nizunguke ziwani, nile vyakula vitamuuu yani nile nijigalagaze, niinjoi, nipumzishe akili, nifurahi vilivyo nikitoka hapo memories zibaki kichwani kwa siku 14 kwa hesabu ya watu wawili, hebu nishawishi utalii wa ndaniShangani, stone town kuna cafe inaitwa archepilago, hapa utaenjoy kwa kweli
Lizzy never dissapoint
Peke yako mkuu,
Peke yako mkuu,
Mkuu wewe ni mlafiNdio mkuu... huwa nakula mpaka nichoke kutafuna
Mkuu wewe ni mlafi
Nilikua na joke tu mzeeNdio mi mlafii... lkn sinyi kwenu kLMY
Lizzy never dissapoint
Haya matunda yanaonekana mabaya haya sujui ladha yake itakuwaje.
Natokea dodoma ila sijawahi kuyaona tangu nizaliwe
Utajua tu watu walaji wa kuku, ila mini kidari nakifurahia sana vimfupa na pia huwa ni kubwa, kidari kilichochomwa au kukaangwa ni kwikwi
Nahitaj pesa kiasi gani ili nikifika zenji maeneo mazuri mazuri sehemu za kulala nzuri, nipate hata boti nizunguke ziwani, nile vyakula vitamuuu yani nile nijigalagaze, niinjoi, nipumzishe akili, nifurahi vilivyo nikitoka hapo memories zibaki kichwani kwa siku 14 kwa hesabu ya watu wawili, hebu nishawishi utalii wa ndani
Nani kama Lizzy?Lizy kama Lizy