Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 8,313
- 16,481
Sijapita humu siku hizi mbili, nakusalimia sana kipenzi changuai Jamani ni vile wiki hii niko safarini ndio maana nakula hivyo
View attachment 1637278
Nawakeraaaa kidogo
Nani anayajua haya matunda?View attachment 1637813
Kumbe sukari huleta kisukari.. interestingMdogo wangu sukari kila sehemu unaepukaje kwa wagonja wa kisukari, punguza matumizi ya sukari
Kwahiyo lugha ya kabila letu tunaita mafwisa..Yanaitwaje? Ndani yakoje?
Mi siyafahamu ila napenda sana matunda.
Tafadhali tufaamishe,me siyajui ingawa yanavutia kwa njeNani anayajua haya matunda?View attachment 1637813
Kwahiyo lugha ya kabila letu tunaita mafwisa..
Kiingereza "giant yellow mulberry or monkey fruits"
Ndani Yana mbegu yake kubwa katikati..yanaliwa,unabandua hivyo vipande ,unakula kimoja kimoja kama unanyonya..utamu ukiisha unatupa peke.
Maelezo yake hayo juu
Hizi kuku zitakua ni tamuuu balaaa
Mambo matamu haya, halafu mchele uwe wa mbeya hatari ingine hiyo
Nilishakulaga haya sema sikumbuki jinaNani anayajua haya matunda?View attachment 1637813
Lizy darasa la mapishi limeishia linatakiwa liendelee,