Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,559
- 47,002
Pweza ni wanasifika kwa kuongeza kitu gani mwilini?Kitu cha pweza wa nazi na ubwabwa View attachment 1631464
Sent using Jamii Forums mobile app
Pweza ni wanasifika kwa kuongeza kitu gani mwilini?Kitu cha pweza wa nazi na ubwabwa View attachment 1631464
Hao dagaa wanatia huruma wanakuchungulia na kijicho kimojaKikubwa uhai...View attachment 1631402
Hahahahha hawaamini wanachokionaa
Unajua kunitesa!View attachment 1631236
Kumekucha, chapati za maji na uji wa lishe
Aiseeehhh umeongeza njaa hapa ni hatari aisehh hii mambo
Kuna pilau mbuzi banah nalo ni tatizo lingine
Wewe ni mzenji , wazenji na mapishi yenu ni hatari, mnapikaga vibarazani nyei hamtaki mambo ya jikoni
Unajua kunitesa!
Kuna sehemu nimepost bia halafu ukalike!
Nililike kwa sababu ya picha za juu..Kuna sehemu nimepost bia halafu ukalike!
Weeeee unaona aibu kusemaHa hahahahaha. si useme tu sahiib. Mkuyat