Uzi wa vyakula tu

3f43ff5efb6e7116de529bc801918274.jpg

Wazee, karibuni.
 
Nazi zimeadimika sana jamani hivyo kuwa kuwa kubwa sana yakutisha!

Wananchi tupaze sauti tupate ufumbuzi wa changamoto hii ya uhaba wa bidhaa ya nazi sokoni na mtaani kwa ujumla!
 
Looks delicious
Vip ulifuata ile recipe uliyopewa na mdau au umeongeza ujuzi wako!?
Kabla ya kupewa nilikuwa na yangu mkuu ila nishukuru pia kuna nilichukua kwa jamaa.

Msosi ulikuwa mtamu saana....sijawahi kudhani nitaweza kupika viazi kwa namna hiyo..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom