Uzi wa vyakula tu

IMG_20200522_184045_5.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waungwana toeni recipe za kupika leo basi.
Maji+unga=ugali
Washa jiko weka sufuria yenye maji kiasi. Koroga unga kadiria uji usiwe mwepesi wala mzito sana. Koroga mpaka ukianza kuchemka uache uchemke kwa dakika 5. Baada ya hapo ongeza unga kidogo kidogo huku ukisonga. Songa mpaka usikie ugali unanukia na mwiko haunati. Baada ya hapo ipua na ugali wako utakua tayari kuliwa.
 
Maji+unga=ugali
Washa jiko weka sufuria yenye maji kiasi. Koroga unga kadiria uji usiwe mwepesi wala mzito sana. Koroga mpaka ukianza kuchemka uache uchemke kwa dakika 5. Baada ya hapo ongeza unga kidogo kidogo huku ukisonga. Songa mpaka usikie ugali unanukia na mwiko haunati. Baada ya hapo ipua na ugali wako utakua tayari kuliwa.
Nice

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom