Mzimu wa Kolelo
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 2,493
- 7,206
Hizo sehemu kama nazijuajua ha ha ha haPopote nilipokutana nayo haifanyi kazi
Popote nami nilipokutana nazo hazifanyi pia mkuu ni fake ya kiwango cha juu
Hizo sehemu kama nazijuajua ha ha ha haPopote nilipokutana nayo haifanyi kazi
Ha ha ha mana hizi koki zinapatikana sana maeneo fulanifulaniinaonekana we mtuamiaji mzuri saana wa sehemu zenye hicho kifaaa
Aisee VUNJABEI pale ni kweli bidhaa zake nyingi hazina viwango yani nilipogundua hilo sijawahi kukanyaga tena.viatu vyote vinavyouzwa kwa vunjaa bei na david sport wear ni fake thank me later
inaonekana we mtuamiaji mzuri saana wa sehemu zenye hicho kifaaa 🧚🏽♀️🧚🏽♀️
Sio fake, vinaendana na bei.Viatu vyote vinavyouzwa kwa vunjaa bei na david sport wear ni fake thank me later
Nunueni viatu vya ngoziViatu vya ngozi vyeusi kwa watoto wa shule vingi ni feki.
Wanachukua viatu vyeupe au vyekundu wanapaka dye vinaonekana vyeusi.
Ni fake
Kweli mkuu nilinunua juma na rosa mwaka jana. Ina soli rangi iko kama rubber band alivaa wiki moja tuu. Ikabanduka ni viatu hovyo kabisaViatu vya ngozi vyeusi kwa watoto wa shule vingi ni feki.
Wanachukua viatu vyeupe au vyekundu wanapaka dye vinaonekana vyeusi.
Ni fake
Nimeenda Vunja Bei sijaona maajabu yeyote 95% ya bidhaa ni feki tena famba kabisaViatu vyote vinavyouzwa kwa vunjaa bei na david sport wear ni fake thank me later
😂😂 this is Jf,ladha kama hizi huwezi kuzipata mahali pengineKuna huduma pale kimboka ya wadada wanaouza nyau ni fake service,haiwezekani mtu umlipe ili umle mzgo anakuambia mbona hukojoi na anatishia kuondoka wakati ww wazungu ni kwanza wapo kitonga. Tunaomba serikali watusaidie Kwa hili.mitano tenaaaaa
kikubwa kama unataja subweoof chagua yenye transformers kubwaSubwoofer za mr UK (made in Tz) ni fake fake fake. Ina katransfomer kadogo kama kikasha cha kiberiti. Niliitumia miezi mitatu tuu ikaanza kupata moto na kukoroma mwishowe ikafa. Ikabidi ninunue SeaPiano zile za zamani used kwa mtu. Huu mwaka wa pili sasa na inafunguka sasa na ina transformer kubwa sana kwa nyuma
View attachment 1662475
DuhNimeenda Vunja Bei sijaona maajabu yeyote 95% ya bidhaa ni feki tena famba kabisa
Huu mzigo aisee daah kwa macho unavutia ila aisee...Kama una ujenzi na unatarajia kufanya plumbing nakushauri usinunue hii mixer ni fake View attachment 1661495
Smartwatch ya kuanzia 60,000 kushuka chini usinunue, zinawahi kufa betry pia hazna nguvu knetwork, nilinunuaga 2016View attachment 1660754
Kuna huduma pale kimboka ya wadada wanaouza nyau ni fake service,haiwezekani mtu umlipe ili umle mzgo anakuambia mbona hukojoi na anatishia kuondoka wakati ww wazungu ni kwanza wapo kitonga. Tunaomba serikali watusaidie Kwa hili.mitano tenaaaaa