Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

HS CODE

JF-Expert Member
Jul 5, 2019
1,779
4,330
Wakuu mambo vipi? Naona ma PDF yameanza kumwagika, changamoto ya malalamiko ya kwanini Utumishi wako kimya, inakwenda kuisha huku changamoto nyingine zinazotokana na kuitwa zinaanza kuibuka kwa kasi ya ajabu. Hii ni kwa wote, wanaokwenda kwenye Saili mbalimbali na hata wanaowategemea.

Tafadhali, naomba tutumie uzi huu kwa kutaja, nyumba za wageni ambazo ni rahisi mtu kukaa na kufika eneo la Usaili kwa gharama ndogo, maeneo zilipo, gharama na hata mawasiliano kama yapo. Hii itasaidia wengi hasa wanaokwenda kwenye Saili Dodoma kwa mara ya kwanza, au hata waliowahi kwenda na wakaishia kuteseka.

NB: Japo sio kwa umuhimu, inasemekana wengine hulala nje, baa na maeneo mengine kwa kutokuwa na pesa kabisa. Kama hayo maeneo yapo na ni salama naomba tusaidiane kuyataja ili watakaojikuta hali haziruhusu wakimbilie huko.

Asante.
 
Nyati lounge usalama wa uhakika
Ipo sehemu gani?

Inapendeza majina ya Lodge/Guest zilizopo kwenye mitaa ya kuelekea UDOM kuanzia Jakaya Kikwete Convention Center kwenda mashariki.

Hii mitaani ipo karibu na UDOM na ghrama hata boda au bajaji haiwezi kuwa kubwa kivile.

Mnaozijua lodge za mitaa hiyo toeni muongozo kwa faida ya wasakatonge wote
 
Wakuu mambo vipi? Naona ma PDF yameanza kumwagika, changamoto ya malalamiko ya kwanini Utumishi wako kimya, inakwenda kuisha huku changamoto nyingine zinazotokana na kuitwa zinaanza kuibuka kwa kasi ya ajabu. Hii ni kwa wote, wanaokwenda kwenye Saili mbalimbali na hata wanaowategemea.

Tafadhali, naomba tutumie uzi huu kwa kutaja, nyumba za wageni ambazo ni rahisi mtu kukaa na kufika eneo la Usaili kwa gharama ndogo, maeneo zilipo, gharama na hata mawasiliano kama yapo. Hii itasaidia wengi hasa wanaokwenda kwenye Saili Dodoma kwa mara ya kwanza, au hata waliowahi kwenda na wakaishia kuteseka.

NB: Japo sio kwa umuhimu, inasemekana wengine hulala nje, baa na maeneo mengine kwa kutokuwa na pesa kabisa. Kama hayo maeneo yapo na ni salama naomba tusaidiane kuyataja ili watakaojikuta hali haziruhusu wakimbilie huko.

Asante.
Kuna vi guesthouse vya kawaida Sana niliwahi fkia mimi sijui km bei zishabadirika ambavyo ni tsh 12, 15 mpaka 10. Moja ipo Hazina Dodoma inaitwa Makuna nyingine inaitwa kivulini ipo Makole zote zipo Dodoma mjini. Pia ukitaka lodge zenye kamuonekano kidogo kwa Dodoma ni 25 nk tena zipo katikati ya mji Moja inaitwa Pahi hotel (ni ghorofa) nyingine,kenya lodge nk.
 
Wakuu mambo vipi? Naona ma PDF yameanza kumwagika, changamoto ya malalamiko ya kwanini Utumishi wako kimya, inakwenda kuisha huku changamoto nyingine zinazotokana na kuitwa zinaanza kuibuka kwa kasi ya ajabu. Hii ni kwa wote, wanaokwenda kwenye Saili mbalimbali na hata wanaowategemea.

Tafadhali, naomba tutumie uzi huu kwa kutaja, nyumba za wageni ambazo ni rahisi mtu kukaa na kufika eneo la Usaili kwa gharama ndogo, maeneo zilipo, gharama na hata mawasiliano kama yapo. Hii itasaidia wengi hasa wanaokwenda kwenye Saili Dodoma kwa mara ya kwanza, au hata waliowahi kwenda na wakaishia kuteseka.

NB: Japo sio kwa umuhimu, inasemekana wengine hulala nje, baa na maeneo mengine kwa kutokuwa na pesa kabisa. Kama hayo maeneo yapo na ni salama naomba tusaidiane kuyataja ili watakaojikuta hali haziruhusu wakimbilie huko.

Asante.
Nmekaa siti mbele kushoto
 
Kuna vi guesthouse vya kawaida Sana niliwahi fkia mimi sijui km bei zishabadirika ambavyo ni tsh 12, 15 mpaka 10. Moja ipo Hazina Dodoma inaitwa Makuna nyingine inaitwa kivulini ipo Makole zote zipo Dodoma mjini. Pia ukitaka lodge zenye kamuonekano kidogo kwa Dodoma ni 25 nk tena zipo katikati ya mji Moja inaitwa Pahi hotel (ni ghorofa) nyingine,kenya lodge nk.
Pia Kuna makole lodge -*makole DODOMA
 
Ipo sehemu gani?

Inapendeza majina ya Lodge/Guest zilizopo kwenye mitaa ya kuelekea UDOM kuanzia Jakaya Kikwete Convention Center kwenda mashariki.

Hii mitaani ipo karibu na UDOM na ghrama hata boda au bajaji haiwezi kuwa kubwa kivile.

Mnaozijua lodge za mitaa hiyo toeni muongozo kwa faida ya wasakatonge wote

Boss Mungu akubariki sana, umetoa ufafanuzi mzuri sana. Nakutabiria hizi saili za mwaka huu, kuna moja wapo ni lazima itakuingiza kwenye ajira za Serikali.
 
Back
Top Bottom