Uzi wa mafanikio ya Pele, Màradona, Messi na Ronaldinho Gaucho

Messi hana nguvu lakini amefidia kwenye flexibility na mbinu. Ili uchukue Moira ni kwa asilimia kubwa umchezee faulo.

Kwa taarifa 2014 world cup Messi alifunga goal 4 kati ya magoli yote 7 ya Argentina. Kama 57% ya magoli. Hao wengine ndio wamegawana hayo matatu akina Aguero. Messi mfungaji bora was Muda wote wa Argentina kama 61 goals linganisha na 34 ya maradona. Namaanisha Messi ana mchango mkubwa Argentina kuliko Barca tatizo wengine wenye majina makubwa hawakazi wakijua mambo yakienda mrama mzigo kwa Messi.

Ni mashondano gani Messi amechangia zaidi ya 57% ya magoli ya Barca kwenye mashindano yoyote?

CR7 na magoli yake 3 EURO 2016 ameshinda kombe mwisho twahesabu ameipa ubingwa nchi yake.

Watu tunasahau sana nguvu ya wachangiaji wengine katika kuipa timu ubingwa. CR7 ni ndoto kuchukua world cup kutokana na uwezo mdogo was wenzie. Sasa tutasema CR7 so chochote kiss hachukui WORLD CUP.



Tukiangalia uwezo wa mtu tuangalie alichofanya yeye. Sio timu. Kwa vile timu kushinda ni mjumuiko.

Halafu ukitaka jua ubora wa akina Pele usiangalie Highlights ambazo Mara nyingi huweka mambo matamu Tu. Ukiwekewa Highlits za Bendtner utamtukana Wenger kwa kumuacha.
hahaha hizo stats ulivyozipanga. ungesema pia hayo magoli manne aliyapata hatua za makundi baada ya hapo hakuonekana tena alikua anazurura zurura tu uwanjani.
 
Messi mbona ni mdogo sana kwa wakina pele na maradona!
Ronaldo delima alikuwa noma sana sana, naona kama alistahili kuwepo kwenye hiyo list
 
Bila kumweka CR7- Yanayobaki Yanayobaki ni kama matango mwitu tu!!
CR7- kwa sasa ndiye mfungaji bora wa muda wote kwenye mashindano rasmi!! Pele ni wa pili!! There is simply no way you can ignore him when talking about successful professional soccer!
 
Bila kumweka CR7- Yanayobaki Yanayobaki ni kama matango mwitu tu!!
CR7- kwa sasa ndiye mfungaji bora wa muda wote kwenye mashindano rasmi!! Pele ni wa pili!! There is simply no way you can ignore him when talking about successful professional soccer!
Bican ndio mfungaji bora muda wote, goli 805 mpaka 820 Inategemea na source, ronaldo ni wa pili sasa hv.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom