mbere
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 6,969
- 6,460
Kimbele mbele
Noooo hahaha haaaaSasa ugali kwa dagaa wa fungu, pilipili ya maji hairuhusiwi siku hiyo?
Kwani hawasheherekei mwaka mpya?Uu uzi kwanza Bado Skukuu haijafika
Kibongo bongo Umewatenga Wasabato na wa Islam ngoja ifike 25 ntapost msosi wangu
Ivi unawajua walivyo kua na itikadi kali? yan ukisha tia ilo neno la Krismas tu uzi hawawez fungua
Haha haaaaaaIvi unawajua walivyo kua na itikadi kali? yan ukisha tia ilo neno la Krismas tu uzi hawawez fungua