Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,375
- 161,378
Noted my King!Agreed my lady, we've to pray hard, to 've faith and to believe in God and ourselves, that "we can make it happen"
Noted my King!Agreed my lady, we've to pray hard, to 've faith and to believe in God and ourselves, that "we can make it happen"
Good, but... better to have out contact a part from this...mana zile three, four days zilikuwa ngumu kweli upande wangu, sikujua ulikuwa crashed na nini uka disappear abruptly.Noted my King!
Wanabodi.Katika mitandao hivi sasa kuna treading ya picha na vituko vya mtu anayeitwa fundi maiko,inaoneha kila ujenzi wenye utata mhusika ni FUNDI MAIKO.
Naomba kujua nini kilichhotokea mpaka fundi maiko akapewa kila aina ya kosa la usanifu katika ujenzi au ukarabati.
nitashukuru
UPDATES
Vyanzo vya taarifa vinaeleza kuwa chanzo cha FUNDI MAIKO ni kutoka katika mkoa ambao haujatajwa ambapo fundi mmoja aliyefahamika kwa Jina la Maiko alipewa kazi na halmashauri moja (naifadhi jina lake) kuandika kibao cha uzinduzi wa jiwe la msingi katika moja ya shule ya msingi(inaifadhiwa jina) ili iweze kuzinduliwa na mbio za mwenge.
Hata hivyo fundi maiko hakulipwa ujira wake mpaka mwenge unakaribia kufika eneo hilo alikuwa hajalipwa fedha zake.
Aliamua kuandika kibao kinachoeleza aliyekitengeneza na kueleza madai yake ikiwa ni shinikizo kwa wakimbiza mwenge kulipwa fedha zake.(tazama picha ya kwanza,unaweza kujua halmashauri husika).
Tangu hapo ndipo lilipoanza kuibuka jina la fundi maiko.
View attachment 1201744
Mshana acha kwanza nile natemea watu mate ......kwa vicheko ....
Afternoon my King...Good, but... better to have out contact a part from this...mana zile three, four days zilikuwa ngumu kweli upande wangu, sikujua ulikuwa crashed na nini uka disappear abruptly.
"If you will not mind"
Wishing nice night my lady.
una kiingereza kizuri kweliAsante sana...
Hoping the same, just faith and prayers! We'll make our dreams come true...
Mmmhhhuna kiingereza kizuri kweli
ulivyoseama ivyo ndiyo umezidi kunimaliza kabisaMmmhhh
Afternoon too my queen, habari ya wewe?Afternoon my King...
Habari za wewe etiulivyoseama ivyo ndiyo umezidi kunimaliza kabisa
Habari ni nzuri kabisaaAfternoon too my queen, habari ya wewe?
Hoping today siku inakwenda poa.
Iko poa kabisa my lady.Habari ni nzuri kabisaa
Vipi wewe waionaje khali
Evening my queen...Habari ni nzuri kabisaa
Vipi wewe waionaje khali
samala kabisa za majukumu?Habari za wewe eti
Am gud my KingEvening my queen...
Uchovu kwa sana..samala kabisa za majukumu?
Well my lady, I thank God for keeping us alive and bless our relation...Am gud my King
How's you?!