Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,375
- 161,378
SakayoTumwambie anakusalimia nan
SakayoTumwambie anakusalimia nan
Anasema ana ticket ya BASI ya kwenda ZANZIBAR!
Dhaaaaa kidogo nitupe simu. ..nikajua jamaa anatokezea kwenye kiooFundi maiko anawacheki tu mnavomchoraView attachment 1203036
Hahahahhaha,,,,aiseeew geti au chooooo ,fundi Maiko mnakwama wapi ?Geti la fundi maikoView attachment 1203031
Yani jamaa amenuna balaaDhaaaaa kidogo nitupe simu. ..nikajua jamaa anatokezea kwenye kioo
Shikamoo Fundi maiko
hahahaahahhaMBONA HUO NI MJANI WA MBANGII
Labda tumuulize baba yakeMBONA HUO NI MJANI WA MBANGII
Mzee baba hilo tank halina mfuniko juu, kwahiyo uwezekano wa kusikia pruuuuu praaaaa ni mkubwa ukipita wakati wa tukio.Hiyo ni sound proof toilet!
Hata ukihara siri ni ww na tank
Lintel ndo wapi mkuu??hivi hiyo nyumba ilifika hata kwenye lintel kweli? Sio kwa mpindo huo.