MsalimieFundi Maiko yeye bado yupo mtaani tu .
Asante sana jamanizimefika niko nae uku Simiyu kapata tenda ya kujenga Ghorofa
Zimefika bila shakaMkimuona fundi maiko mumpe salamu zangu
Fundi Maiko ni mjeshi kwelikweli atapiga chabo hata ghorofa ya kumi!Fundi maiko baharia hatumii ngaziView attachment 1202024
Kwani hakuna mafundi maiko wa nguo?Huyu atakuwa Mrs Maiko ...kazi inaendana na ya mme wake.
🤣🤣Fundi maiko anamalizia ujenzi huku manyovuView attachment 1202367
Aiseee wewe jamaa ,nilikua nakula nmepaliwa, nmecheka nusu kufaFundi Maiko KAZINIView attachment 1202523
Hahaha ,mbele na nyuma kunafanana, fundi Maiko ni shida jmnMkitaka kujua kua fundi maiko ni mbabaishaji oneni hata gari yake inavyo tuchanganya View attachment 1202425
Nipo hapa fundi Maiko mwenyewe.Mkimuona fundi maiko mumpe salamu zangu