Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,409
- 119,102
Ila babe ww kama daladala kila mtu babe wako.. unajua nina wivuu eeh
Sio kweli bwana mbona uko peke yako babyIla babe ww kama daladala kila mtu babe wako.. unajua nina wivuu eeh
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Ila babe ww kama daladala kila mtu babe wako.. unajua nina wivuu eeh
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Mmmhh
Unaniharibia niachwe mwisho na wewe uanze kuninyanyapaa eti sina chura
Upendo wangu unabubujika pembeni... ninayembubujikia hana muda
Usiseme hivyo babe, you are the only one for meUpendo wangu unabubujika pembeni... ninayembubujikia hana muda
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Lahaula lakwata.......
Jamani babe si ulikuwa umelalaLahaula lakwata.......
Kumbe huku ndipo penye una bebishwa...
Ebu ngoja kwanza ebu....
Nilishtuka kumbe nilikua sijakulalia babe....
Wakati huna uhakika nae, tambua kuwa jamaa ana watoto dazeni nzima (12)WaCongo, unamuonaje Nyoshi El Sadaat!! Japo sina uhakika na urijali wake
Hata kunilaza hutaki