Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,441
- 4,093
ushapiga vichwa wangapi? kuna kitu nimejifunza kwenye comment yakoIla wanaume jamani! Hivi jiulize mlivokua mnaishi kabla ya ndoa ma sasaiv ni sawa? Unakuta mwanamke ana watoto shughuli zot3 za nyumbani toka asubuhi hadi jioni zinamtazama yeye wewe ukiombwa hata kusaidia kuogesha mtoto unanyanyua mabega kama roboti alafu jioni nimechoka zangu hoi uanze kunishika shika nakupiga ndosi hadi utoke damu puani, Mapenzi ni pamoja na kuhurumiana na kusaidiana tena mwingine unakuta wote mnafanya kazi na ukirud nyumbani unafanya majukumu ya home yeye amekaa miguu juu kashikilia rimoti akila hata sahani yake hasogezi, hizo genye nazipata saa ngapi...kwakweli kama mnaona solution ni kutafuta michepuko tafuteni na muhamie huko milele
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app