Uzi wa kushuhudia mazuri ya kwenye ndoa, Tuyaweke pembeni yale mabaya yanayowatia hofu watu wasioe au kuolewa

Ndoa imara ni taasiisi inayotengenezwa na mwanaume, si mwanamke
Taasisi hii huanza kujengwa wakati unapoanza kuchagua mwanamke wa kuishi naye, wengi huwa wanafeli hapa......vijana wengi wanakurupuka sana kwenye hili,

Kabla hujaoa ni lazima ujitathmini wewe mwenyewe muoaji , je niko tayari kuoa, ?mimi ni nani,? kipato changu kitatosheleza mahitaji ya kawaida yangu na mwenzangu? Tabia yangu ni ya aina gani? Nahitaji mwanamke wa aina gani ili niweze kuishi nae kwa furaha hadi uzeeni nk nk
Ukipata majibu ya maswali hayo then utaweza chagua mwenza ambaye ataiweza safari yako, .

...uzuri wa mwanamke+tako , ajira ya mwanamke (uchumi imara) ndio kimekuwa kigezo kikuu cha vijana wa sasa kuanzisha mahusiano wakisahau kwamba ndoa ni agano takatifu la kiMungu ambalo km mwanamke au mwanaume hana hofu ya Mungu lazima ndoa ifeli


Kwa hali ilivyo sasa nashauri vijana muwe waangalifu sana kwenye hili swala la ndoa, utandawazi umeharibu sana, ila sio kila kitu.
You still have a great chance of getting the right partner.

Mwisho
 
Ndoa imara ni taasiisi inayotengenezwa na mwanaume, si mwanamke
Taasisi hii huanza kujengwa wakati unapoanza kuchagua mwanamke wa kuishi naye, wengi huwa wanafeli hapa......vijana wengi wanakurupuka sana kwenye hili,

Kabla hujaoa ni lazima ujitathmini wewe mwenyewe muoaji , je niko tayari kuoa, ?mimi ni nani,? kipato changu kitatosheleza mahitaji ya kawaida yangu na mwenzangu? Tabia yangu ni ya aina gani? Nahitaji mwanamke wa aina gani ili niweze kuishi nae kwa furaha hadi uzeeni nk nk
Ukipata majibu ya maswali hayo then utaweza chagua mwenza ambaye ataiweza safari yako, .

...uzuri wa mwanamke+tako , ajira ya mwanamke (uchumi imara) ndio kimekuwa kigezo kikuu cha vijana wa sasa kuanzisha mahusiano wakisahau kwamba ndoa ni agano takatifu la kiMungu ambalo km mwanamke au mwanaume hana hofu ya Mungu lazima ndoa ifeli


Kwa hali ilivyo sasa nashauri vijana muwe waangalifu sana kwenye hili swala la ndoa, utandawazi umeharibu sana, ila sio kila kitu.
You still have a great chance of getting the right partner.

Mwisho
Umenena kiutu uzima sana mkuu! Heko kwako nimeipenda hii
 
NDOA inafaida NYINGI:-
Kutuliza nafsi.
Kusafisha damu,inapunguza matumizi makubwa ya kuhonga,kuboresha MWILI,kushiriki kikamilifu kwenye ile IBADA bila hofu ya maradhi ya zinaa KWA mwenza,kurithisha kizazi KWA kutokana na watoto nao kutamani kuoa au kuolewa, kupunguza msongo wa mawazo
 
NDOA inafaida NYINGI:-
Kutuliza nafsi.
Kusafisha damu,inapunguza matumizi makubwa ya kuhonga,kuboresha MWILI,kushiriki kikamilifu kwenye ile IBADA bila hofu ya maradhi ya zinaa KWA mwenza,kurithisha kizazi KWA kutokana na watoto nao kutamani kuoa au kuolewa, kupunguza msongo wa mawazo
Amina
 
Sijakuelewa kivipi Tena??

Akati we umesema huwa una enjoy kama mmeo akiwa Ana pay bills ,hata kukunulia vocha,kufuri

Hata kama wwe una hela ila jamaa akitoa ndo una enjoy na kuw na social security, na kuona uwepo wake

Asa pata picha jamaa Ana hata Mia ,si ndo utakapo anza kukosa hizo social security ,furaha ,mwisho wa sku utaanza kumuona jamaa ni ndenzi tu

Jamani unavyooa hakikisha una hela ,na hata ukifulia unaeeza recover soon, au unaweza kuipata sehemu hata kwa kukopa,

Bila hivo wenyew wanakwambia wanakosa social security
Daaah hujanielewa badoo.Kwahyo ww kumnunulia mkeo unaona shida? mimi napenda aninunulie kwa sbb napenda tuu na sio kwamba akiwa hana nitalalamila au nitakwazika. Its just romantic kumnunulia mkeo au mumeo kitu.
 
Trust me, utapata wa kufanana nae mwenye genuine love. Mwamini Mungu na tumia akili kuliko hisia kwenye kufanya selection, you will get the right one for you. Sikuzote niliamini wanawake wema na bora wapo na mwisho wa siku nikapata nilichoamini. All the best mkuu, nakuombea.
Asante mkuu na nafurahi kwa kuniombea napokea
 
Umesema ukweli kabisa kaka. Baadhi ya wanawake wakishaolewa wanajisahau sana. Kwanza kila siku wewe ndio umuombe mchezo ukiomba unaambiwa unapenda sana uchi ukipewa ufanye kidogo tu ukitaka kurudia unaambiwa nimechoka, usipo muanza hupewi kitu. Akipata mimba utanyimwa mchezo mpaka uombe poo.
Ni changamoto za kuelekezana
 
Hakika liko kusudi la Mungu katika mapenzi! Upendo ni tunda tam sana linalotafutwa na yule muovu!

Naomba kwa Uzi huu tuambizane Yale mazuri yaliyomo kwenye ndoa!

Ili wale tunao ogopa kuingia tupate hamasa!

Mliopo kwenye ndoa msishiriki kuyapa ushindi yale mabaya tu yasikike masikioni bali hata yale matam!

Naomba leo muyaweke hapa Yale mazuri ili wenye hofu wayapime na wingi wa Yale mabaya!

Kuna wakati huwa najiuliza! Hivi Busu la kila siku kwa mwaka mzima inamaana halina uzito kuliko teke la siku moja?

Hamuoni ya kwamba Wanandoa wanafurahia zaidi kuliko mda wa chuki?

Wanandoa jamii inawatazama nyinyi, je kwanini Hampendi kuonesha jamii Yale mazuri ili kuwaondolea hofu? Picha za mahaba mmezitia kufuli lakini za kuchinjana mnazileta bayana kwanini?

Naomba leo kwa yoyote humu anaejua tam yoyote ya ndoa atuambie hapa!

Story za kuchinjana na kuchomana visu na mkaa ebu leo tuziweke pembeni tuhesabu Faida za ndoa!

Wanandoa kama mtaamua kunyamaza hapa basi mtakuwa mmeshiriki dhambi ya kuyatangaza Yale mabaya yasikike zaidi kuliko mema!

Siyo kila siku tusikie negative tu!.. Naomba leo tuweke utam hadharani hapa ili ndoa iheshimiwe na watu wote! Nawangojea hapa huku nakula zangu karanga sitoki!

Siyo lazima uwe kwenye ndoa, hata kama haupo kwenye ndoa lakini unayajua matamu ya ndoa karibu ushuhudie hapa
Raha ya ndoa mshone sare za vitenge, kama hujafik hii point bas bado hauja enjoy ndoa.
 
Baadhi ya mambo mazuri ya wanandoa;

1. Mwanamke aliye kwenye Ndoa anaheshimika sana kuliko yule anayeishi peke yake bila mume
2. Mkiongozana wanandoa kisha mkapishana na Dada mwingine mwenye tako kubwa, Mume unajikuta unageuka kumuangali ila mke yeye huwa anakuangalia wewe mume wake - Hadi raha
3. Mkiishi vizuri kwenye ndoa, hali hii hupelekea hata watoto wenu wakiwa wakubwa nao hutamani maisha ya ndoa. Hivyo staili ya maisha ya wazazi huakisi pia kwenye maisha ya watoto wenu.
Hii no2 dah
 
Au Kuna ile unakuta siku hiyo umeamua kumpiga show mpaka anakimbilia room y watoto,,,,, unaanza mbembeleza kesho nakununulia chupi anajibu ulininunulia dazani juzi Hapa bado zingine sijavaa,,, unaamua mwambia basi tutajenga nyumba nyingine, unakuta anatabasamu anakwambia nimechoka mume wanguMwisho huwa namwambia njoo nikunyonye uchi japo dakika Moja ktkt y sucking unasikia basi malizia baby ila jitahidi umalize chap
kumbe tunajichelewesha wenyewe
 
Back
Top Bottom