igwee frm anambra
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 953
- 1,472
Ndoa imara ni taasiisi inayotengenezwa na mwanaume, si mwanamke
Taasisi hii huanza kujengwa wakati unapoanza kuchagua mwanamke wa kuishi naye, wengi huwa wanafeli hapa......vijana wengi wanakurupuka sana kwenye hili,
Kabla hujaoa ni lazima ujitathmini wewe mwenyewe muoaji , je niko tayari kuoa, ?mimi ni nani,? kipato changu kitatosheleza mahitaji ya kawaida yangu na mwenzangu? Tabia yangu ni ya aina gani? Nahitaji mwanamke wa aina gani ili niweze kuishi nae kwa furaha hadi uzeeni nk nk
Ukipata majibu ya maswali hayo then utaweza chagua mwenza ambaye ataiweza safari yako, .
...uzuri wa mwanamke+tako , ajira ya mwanamke (uchumi imara) ndio kimekuwa kigezo kikuu cha vijana wa sasa kuanzisha mahusiano wakisahau kwamba ndoa ni agano takatifu la kiMungu ambalo km mwanamke au mwanaume hana hofu ya Mungu lazima ndoa ifeli
Kwa hali ilivyo sasa nashauri vijana muwe waangalifu sana kwenye hili swala la ndoa, utandawazi umeharibu sana, ila sio kila kitu.
You still have a great chance of getting the right partner.
Mwisho
Taasisi hii huanza kujengwa wakati unapoanza kuchagua mwanamke wa kuishi naye, wengi huwa wanafeli hapa......vijana wengi wanakurupuka sana kwenye hili,
Kabla hujaoa ni lazima ujitathmini wewe mwenyewe muoaji , je niko tayari kuoa, ?mimi ni nani,? kipato changu kitatosheleza mahitaji ya kawaida yangu na mwenzangu? Tabia yangu ni ya aina gani? Nahitaji mwanamke wa aina gani ili niweze kuishi nae kwa furaha hadi uzeeni nk nk
Ukipata majibu ya maswali hayo then utaweza chagua mwenza ambaye ataiweza safari yako, .
...uzuri wa mwanamke+tako , ajira ya mwanamke (uchumi imara) ndio kimekuwa kigezo kikuu cha vijana wa sasa kuanzisha mahusiano wakisahau kwamba ndoa ni agano takatifu la kiMungu ambalo km mwanamke au mwanaume hana hofu ya Mungu lazima ndoa ifeli
Kwa hali ilivyo sasa nashauri vijana muwe waangalifu sana kwenye hili swala la ndoa, utandawazi umeharibu sana, ila sio kila kitu.
You still have a great chance of getting the right partner.
Mwisho