Hakika liko kusudi la Mungu katika mapenzi! Upendo ni tunda tam sana linalotafutwa na yule muovu!
Naomba kwa Uzi huu tuambizane Yale mazuri yaliyomo kwenye ndoa!
Ili wale tunao ogopa kuingia tupate hamasa!
Mliopo kwenye ndoa msishiriki kuyapa ushindi yale mabaya tu yasikike masikioni bali hata yale matam!
Naomba leo muyaweke hapa Yale mazuri ili wenye hofu wayapime na wingi wa Yale mabaya!
Kuna wakati huwa najiuliza! Hivi Busu la kila siku kwa mwaka mzima inamaana halina uzito kuliko teke la siku moja?
Hamuoni ya kwamba Wanandoa wanafurahia zaidi kuliko mda wa chuki?
Wanandoa jamii inawatazama nyinyi, je kwanini Hampendi kuonesha jamii Yale mazuri ili kuwaondolea hofu? Picha za mahaba mmezitia kufuli lakini za kuchinjana mnazileta bayana kwanini?
Naomba leo kwa yoyote humu anaejua tam yoyote ya ndoa atuambie hapa!
Story za kuchinjana na kuchomana visu na mkaa ebu leo tuziweke pembeni tuhesabu Faida za ndoa!
Wanandoa kama mtaamua kunyamaza hapa basi mtakuwa mmeshiriki dhambi ya kuyatangaza Yale mabaya yasikike zaidi kuliko mema!
Siyo kila siku tusikie negative tu!.. Naomba leo tuweke utam hadharani hapa ili ndoa iheshimiwe na watu wote! Nawangojea hapa huku nakula zangu karanga sitoki!
Siyo lazima uwe kwenye ndoa, hata kama haupo kwenye ndoa lakini unayajua matamu ya ndoa karibu ushuhudie hapa
Naomba kwa Uzi huu tuambizane Yale mazuri yaliyomo kwenye ndoa!
Ili wale tunao ogopa kuingia tupate hamasa!
Mliopo kwenye ndoa msishiriki kuyapa ushindi yale mabaya tu yasikike masikioni bali hata yale matam!
Naomba leo muyaweke hapa Yale mazuri ili wenye hofu wayapime na wingi wa Yale mabaya!
Kuna wakati huwa najiuliza! Hivi Busu la kila siku kwa mwaka mzima inamaana halina uzito kuliko teke la siku moja?
Hamuoni ya kwamba Wanandoa wanafurahia zaidi kuliko mda wa chuki?
Wanandoa jamii inawatazama nyinyi, je kwanini Hampendi kuonesha jamii Yale mazuri ili kuwaondolea hofu? Picha za mahaba mmezitia kufuli lakini za kuchinjana mnazileta bayana kwanini?
Naomba leo kwa yoyote humu anaejua tam yoyote ya ndoa atuambie hapa!
Story za kuchinjana na kuchomana visu na mkaa ebu leo tuziweke pembeni tuhesabu Faida za ndoa!
Wanandoa kama mtaamua kunyamaza hapa basi mtakuwa mmeshiriki dhambi ya kuyatangaza Yale mabaya yasikike zaidi kuliko mema!
Siyo kila siku tusikie negative tu!.. Naomba leo tuweke utam hadharani hapa ili ndoa iheshimiwe na watu wote! Nawangojea hapa huku nakula zangu karanga sitoki!
Siyo lazima uwe kwenye ndoa, hata kama haupo kwenye ndoa lakini unayajua matamu ya ndoa karibu ushuhudie hapa