Bado una ishi maisha magumu hujapata kazi?nasubiri kuambiwa ukweli leo
Weka picha tuone kama ni kitam/kizuriMimi naomba niwaambie ukweli wale wote mlionitongoza pm jamani msiwe na hasira na mm wengine hata siwakumbuki maaana idadi yenu ni maelfu kwa maelfu ila aliyeshinda ni mmoja mganga kwanini mna kisasi na mimi?
Jamani hebu kuweni na huruma basi ningewafungia pm napo ningesema mm mwanaume sasa maneno ya nini jamani ndo hivyo mganga anakula hiki kitumbua kitamu na kama uliwahi kuonja baadae tukabwagana fanya kama hujui manenomaneno ya nini mbna mm sina sema siwezi kuwakumbuka wotee maana ni wengi haya tuishie hapa kwa leooo
File lako nnalo jua hiloUnatafuta balaa wewe...huu Uzi usipofikia kubaya sijui...ngoja niwe msoma comments tu
Naomba hela yanguBina
Kwani una akaunt ngapi?Naomba hela yangu
Huo ndiyo ukweli umemwambia?File lako nnalo jua hilo
Na log off
Nampenda nshamwambia tayarHuo ndiyo ukweli umemwambia?
mungu anasaidia nimepata kikazi angalau hata week 2 au 3 naweza nkawa busy mkuuBado una ishi maisha magumu hujapata kazi?
Atamuanzishia riri mkuu sio mimiBora picha ya mwanzo ali ku follow, hii uliyowela sasa hivi atakuanzishia uzi kabisaaaa
NakaziaWee ile miova tar ya uongo usiiamini wala nini
hapana mkuu... huu uzi utaendelea kuwa salama as long as CCNP Engineer yupo mafichoniUnatafuta balaa wewe...huu Uzi usipofikia kubaya sijui...ngoja niwe msoma comments tu
Hata mtaani wanakuita Demis?Imebidi niseme ukweli mm siwezi kuwakumbuka bhn ni wengi sana jumlisha na wa mtaani wenyewe ndo watakumbuka nimeshawahi mtongoza Demiss
Kwenye suala la kitumbua kitamu hapo usidanga nye watu.Nawe ukubali huu ukweli kuwa hujui kujisafisha ndio maana hiyo harufu ya ng'onda haikatiki.Na ndio maana nilidate nawe Mara 3 tu nikakupotezea.at the first time nilijua bahati mbaya,second nikasema huenda ulijisahau ila ile ya third kama wakumbuka kwanza nilihakikisha unaoga then tukaanza ila ikawa vilevile.Kiukweli hiyo harufu yakeraaaaaaaaaaa...Madhali Leo ni ukweli wacha tu niusemeMimi naomba niwaambie ukweli wale wote mlionitongoza pm jamani msiwe na hasira na mm wengine hata siwakumbuki maaana idadi yenu ni maelfu kwa maelfu ila aliyeshinda ni mmoja mganga kwanini mna kisasi na mimi?
Jamani hebu kuweni na huruma basi ningewafungia pm napo ningesema mm mwanaume sasa maneno ya nini jamani ndo hivyo mganga anakula hiki kitumbua kitamu na kama uliwahi kuonja baadae tukabwagana fanya kama hujui manenomaneno ya nini mbna mm sina sema siwezi kuwakumbuka wotee maana ni wengi haya tuishie hapa kwa leooo
Kweli aiseeNataka niwaambie ukweli mchungu wana JF wote kuwa mtakufa tu siku moja hivyo msipende kubeza na kudharau wengine. Msijione matawi ya juu kisa Mungu kakujalia maana huijui kesho yako.
Nawachana kuwa Mungu sio Mzee Mkumba tusema atampendelea mwanae Chalii kila siku na mtu sio jiwe tuseme ukiliweka mahali hata uje mwakani utalikuta pale pale.
Nawaambia ukweli kuwa kama una uwezo wa kuwasaidia wasiojiweza jitoe kadiri uwezavyo. Ishi maisha yako usipende kufuatilia yasiyokuhusu sana, labda kama unaona kuna haki haitendeki na unaweza kusaidia. Kuwa low profile. Jitahidi kuwa neutral siku zote, usifungamane na upande wowote.
Unapopata mda na wadhifa kidogo kula maisha... Nawaambia ukweli mchungu mtajua wenyewe