Morg
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 1,301
- 1,766
Habarini za kutwa Ndugu zangu natumaini nyote wazima wa afya kabisa .Tuendelee kupambana dhidi ya COVID-19 .Mungu ibariki Tanzania
Tuende kwenye mada yetu pendwa ni kupeana motisha morali katika maisha kupitia shuhuda mbalimbali za Wana JF jinsi gani walifocus ni magumu gani waliyopitia ambayo hawatokuja kusahau katika maisha lakini mwisho wa siku walivuka salama share visa Hapa
Mimi nilipitiwa wakati mgumu Sana hapo nyuma sintokuja kusahau ni wakati ambao siku wahi kuwaza kupitia katika maisha nilikuwa mpweke sina Raha choka akili mpkaa nafsi .Nashukuru Mungu alinipigania na Mpaka nikavuka salama .Here we go mwakani naanza maisha bachelor nakuwa na wakati mgumu kila nikifikiria lkn najipa moyo kila penye njia Pana nia
Nawakaribisha members wote wa humu jf kuja kushuhudia jinsi walivyopambana na nyakati gani Ngumu waliyopitia katika maisha watupe morali nasaha na vipaumbele kwa wale wanaonza amaa. Kupitia magumu
Naomba kuwasilisha plz HERE WE GO
Tuende kwenye mada yetu pendwa ni kupeana motisha morali katika maisha kupitia shuhuda mbalimbali za Wana JF jinsi gani walifocus ni magumu gani waliyopitia ambayo hawatokuja kusahau katika maisha lakini mwisho wa siku walivuka salama share visa Hapa
Mimi nilipitiwa wakati mgumu Sana hapo nyuma sintokuja kusahau ni wakati ambao siku wahi kuwaza kupitia katika maisha nilikuwa mpweke sina Raha choka akili mpkaa nafsi .Nashukuru Mungu alinipigania na Mpaka nikavuka salama .Here we go mwakani naanza maisha bachelor nakuwa na wakati mgumu kila nikifikiria lkn najipa moyo kila penye njia Pana nia
Nawakaribisha members wote wa humu jf kuja kushuhudia jinsi walivyopambana na nyakati gani Ngumu waliyopitia katika maisha watupe morali nasaha na vipaumbele kwa wale wanaonza amaa. Kupitia magumu
Naomba kuwasilisha plz HERE WE GO