Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,704
Kama vile zilivyo nguvu mbili zipinganazo. Nyingine kutoka nje na, nyingine kutoka ndani. Katika yai nguvu itokayo nje husababisha kifo naitokayo ndani husababisha uhai wa kuku pindi yai lipasukavyo. Katika maisha ni vivyo. Jali sana kile unacho waza kutoka ndani kuliko usikiayo kutoka nje. Kama hukufanikisha malengo yako mwaka uliopita usijali hiyo iwe chachu ya kuanza mwaka huu kwa kasi zaidi. Magumu yawe daraja kukupeleka katika mafanikio zaid. Nakutakia heri ya MWAKA MPYA. Wenye mafanikio zaidi.
Jr
Jr