Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ixhindikane kwannHuwezi kushinda hiyo hela utaishia tu kupatia chini ya 13
Mkuu utaweza kweli tusije tukakuchangia ukaenda kutoa mahari ya kuoleaNani yupo tayari tujichange 100,000/= watu kama 20 tu tuunde mikeka nane ya double chance tuichukue tugawane katik kwa kati. Uaminifu kwangu 1001%. Waliopo serious tuuu.
Sasa mkuu nipe namba yako tuweke Sawa haya mazagaBetting kwa 70% ni technical zilizobaki 30% ndio bahati au kamari.
Mkuu niunge kwenye group lako nione nipo tayar kuchangiaNishaanda mikeka yake sema changamoto pesa kaka. Na hapa naelewa uwezo wangu ni mkubwa.
Sasa hizo 30% ndio muhimu kuliko70%, kuna mmama huko kusini alipiga milioni tisa ya bonus.kwa kumuangalia yule hata wachezaji wawili wa liver hawajui,aliweka tu betting akala,sasa sie wa tech mbona hatupigi hata bunus ya game10 tu?Betting kwa 70% ni technical zilizobaki 30% ndio bahati au kamari.
Ofcourse bahari inahusika lakini trust me ukiweka muda wako na energy kuweka mkeka asilimia kubwa utakulaSasa hizo 30% ndio muhimu kuliko70%, kuna mmama huko kusini alipiga milioni tisa ya bonus.kwa kumuangalia yule hata wachezaji wawili wa liver hawajui,aliweka tu betting akala,sasa sie wa tech mbona hatupigi hata bunus ya game10 tu?
Kwa mfano game ya Sampordia vs Empoli umetoa maamuzi gani baada ya uchambuzi? Jibu nikujue kama wewe kweli mzee mwenzangu kwenye haya mamboHahahaaa ningekula hii jacpoti sio kwa uchambuzi naofanya,siachi kipengele hata kimoja cha statics ,cha ajabu naweza ishia game tano,siku niliyopata tisa niliweka tu navyojisikia.
Draw hiyo mzee babaKwa mfano game ya Sampordia vs Empoli umetoa maamuzi gani baada ya uchambuzi? Jibu nikujue kama wewe kweli mzee mwenzangu kwenye haya mambo