Ivan Breaker
JF-Expert Member
- Jun 13, 2020
- 1,379
- 5,488
- Thread starter
- #41
Shukrani sanaHongera
Mkuu napenda kuchora sana na kuchonga mapambo mbali mbali ila kwenye kuchora kama ni mtu huwa nashindwa kwenye mikono na miguuni, sijui nifanye nini ili kufikia ndoto yanguAah sawa nasubili na mimi nione mfumo wa maisha utanipeleka muelekeo upi
Umetambua ni msanii gani huyu?View attachment 2033100
Ndio zote nachora kwa mkono kwenye karatasi iv... Asante sanaHii umeichora kwa mkono wako mkuu, hongera sana
Kwa kweli kwenye sehemu ya vidole kuunganisha na mkono au mguuni huwa pana shida ata kwangu ila huwa najitahidi tu. Kwenye mikono hua naanza na kucha kwanza af nakuja vidole af namalizia na kiganja chote, ni kama kwenye sura ya mtu huwa naanza na macho kwanza harafu pua halafu mdomo na namalizia sehemu zingineMkuu napenda kuchora sana na kuchonga mapambo mbali mbali ila kwenye kuchora kama ni mtu huwa nashindwa kwenye mikono na miguuni, sijui nifanye nini ili kufikia ndoto yangu
Daaah, kweli Tanzania tumebarikiwa vipaji, 𝐇𝐨𝐧𝐠𝐞𝐫𝐚 𝐮𝐩𝐨 𝐯𝐢𝐳𝐮𝐫𝐢, 𝐌𝐮𝐧𝐠𝐮 𝐚𝐤𝐮𝐬𝐚𝐢𝐝𝐢𝐞 𝐮𝐟𝐢𝐤𝐞 𝐦𝐛𝐚𝐥𝐢Kwa kweli kwenye sehemu ya vidole kuunganisha na mkono au mguuni huwa pana shida ata kwangu ila huwa najitahidi tu. Kwenye mikono hua naanza na kucha kwanza af nakuja vidole af namalizia na kiganja chote, ni kama kwenye sura ya mtu huwa naanza na macho kwanza harafu pua halafu mdomo na namalizia sehemu zingineView attachment 2033138
Ni kweli unayosema nakubali sina ubunifu hii ni kutokana na kwamba hichi kitu huwa tu nafanya kujifurahisha pindi nikiwa sina kitu cha kufanya ila ukweli ni kwamba ubunifu ninao mwingi tu ila huonekana pale napopata challenge ya kushindana na mtu ndipo huwa naonesha ujuzi mwingine wa ziada kwenye uchorajiMchoraji mzuri sana
Shida huna ubunifu wa katika uchoraji