TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,534
Habari zenu wanabodi!
Hebu tujadili leo jinsi gani unaweza ukapata kazi kwenye miradi mikubwa niliyoitaja hapo juu na mengineyo.
Kwanza tumuombe Mungu aujalie uzi huu uwe na wachangiaji ambao sio wabinafsi, ambao watashare experience zao mbinu gani wanazotumia au walizotumia kupata kazi kwenye miradi mikubwa.
Binafsi nimejifunza mengi katika harakati za kusaka ajira na kugundua kwamba pindi unaposikia sehemu kuna mradi mkubwa sio swala la kukurupuka na kwenda kichwa kichwa kwa matarajio ya kupata kazi maana kama una familia unaweza ukaitesa kwa njaa .
Hebu tupeane mbinu sasa. Mtu anawezaje kuchomoka na kupata ajira kwenye miradi mikubwa, wapi anaanzia mpaka kutoboa ukizingatia wengine wanakuwa hawana pakufikia wala connection. Je, anapataje connection?
Hebu tujadili leo jinsi gani unaweza ukapata kazi kwenye miradi mikubwa niliyoitaja hapo juu na mengineyo.
Kwanza tumuombe Mungu aujalie uzi huu uwe na wachangiaji ambao sio wabinafsi, ambao watashare experience zao mbinu gani wanazotumia au walizotumia kupata kazi kwenye miradi mikubwa.
Binafsi nimejifunza mengi katika harakati za kusaka ajira na kugundua kwamba pindi unaposikia sehemu kuna mradi mkubwa sio swala la kukurupuka na kwenda kichwa kichwa kwa matarajio ya kupata kazi maana kama una familia unaweza ukaitesa kwa njaa .
Hebu tupeane mbinu sasa. Mtu anawezaje kuchomoka na kupata ajira kwenye miradi mikubwa, wapi anaanzia mpaka kutoboa ukizingatia wengine wanakuwa hawana pakufikia wala connection. Je, anapataje connection?