ndege joni
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 673
- 1,083
Asante sana kwa taarifa mkuu
Habari, ndio walicho andika ni sawa na ni waaminifu na wana mawakala mikoani kwahio ukiagiza mzigo watakupigia ukiwa umefika. Shida yao kybwa ni lwba shipping yao ni ya muda mrefu sana. Kuhusu mzigo kufika hakuna cha kulipia ni kuchukua tu.