Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Hili ni tusi mkuu?Zf z676c,y6vjz7z,yk 8x i ,the zz ,65izsd 6,i O8s o8s66.d 6m5
Bp6.
K
Hili ni tusi mkuu?Zf z676c,y6vjz7z,yk 8x i ,the zz ,65izsd 6,i O8s o8s66.d 6m5
Bp6.
K
Naomba nielekeze abc mchakato wa kununua mpaka kuletewa, mzigo unaletewa mpaka wapi?
Umenifanya nipate imani ya kuagiza nami bidhaa yangu aseeNIshaagiza sana kupitia Jumia; si biadhaa si misosi! Sijawahi kupata tatizo la kuletewa bidhaa tofauti kwa sababu kimsingi, suppliers wa hizi bidhaa ni maduka yaliyopo sehemu mbalimbali Dar es salaam. Sometimes unaweza kuchelewa kupata mzigo, na hii hutokea pale endapo bidhaa uliyo-point, supplier husika hana na wanachofanya Jumia, ni kutafuta supplier mwingine! Na kwavile malipo ni baada ya mzigo kufika, HAKUNA RISK ya kuibiwa!
Kupitia Jumia niliagiza radio hiyo hapo
Na malipo mlangoni na ilikuwa yenyewe Mpya nimebandua makaratasi
NB
Jumia hulipii kabla unalipia baada hadi leo hii radio iko safi View attachment 778643
sijawah tumia kikuuu japo kuna mtu alilalamika hivyo kua kaagiza kitu tofauti na kilivyokuja ila mm natumiaga jumia vitu vyote nimenunua kwao viko fresh na cheap japo kuna wakati waliniletea jiko la gas likazingua wakanipa vocha niweze kununua kitu kingine ofcourse wabongo bado sana katika hii industry lkn tusiwabeze tuwatie moyo ndio kujenga uchumi wa kwetu tuendelee kuwakosoa lakn tusiache kuwaunga mkonoHabari wakuu,
Kwa wale wenzangu wa kuorder vitu online, kwa muda murefu nimekua nikifanya manunuzi kupitia mitandao ya Ebay, Amazon na Alibaba. Hivi juzi nilisema ngoja nijaribu kununua kwenye hizi platform zetu za kiafrika nikachagua Kikuu.
Nilivutiwa kwanza na UI ya app yake na mpangilio wa bidhaa na pia suprisingly vitu viko bei ya chini sana. Modes of payment ni rahisi pia kwani unaweza ukalipa kupitia hizi huduma za mobile money. Basi, Nilichagua raba flani hivi na jumla yote (bei ya bidhaa pamoja na shipping cost) ilikua kama 62,500/= hivi nikalipia kwa tigopesa nikisubiri mzigo wangu.
Within 1 1/2 week niliupata ila kufungua package nilistaaabu ya musa. Raba niliyoagiza ni tofauti kabisa na ile niliyoichagua na hili raba nilioletewa ni yale tunaita ‘MCHAGA KAWEZA’ yaan mdosho wa kiwango cha lami. Kwa kweli i was so dissapointed nikajiuliza what if ningeagiza mzigo ambao ni bulk.
Sijajua kama tatizo kama hili hutokea bahati mbaya ama vipi hivyo naomba feedback kwa wakuu ambao mlishawahi kutumia hizi platforms vipi mzigo yenu ilikuja kama mlivyoitarajia au ni yale yale tu?
Nawasilisha.
Siwaamini hao kikuu mzigo wangu unazaidi ya nusu mwezi umefika hapa Dar lkn sijaletewa...siku hizi hata meseji hawanijibu...ni wababaishaji balaa sitarudiaKikuu wapo vizuri ila bidhaa zao km za kariakoo
Kikuu ni majambazi, mzigo wangu uliishia kwa delivery guy wao, nili-file complain lakini wapiSiwaamini hao kikuu mzigo wangu unazaidi ya nusu mwezi umefika hapa Dar lkn sijaletewa...siku hizi hata meseji hawanijibu...ni wababaishaji balaa sitarudia
bro umelipia kwa kutumia nnMpango Ali express bei chee angalia ka hapo Toshiba flash 32 gb zipo 2 na usafir jumla 24000 zipo njian nazngoja
Nimelipa kwa mpesa master card au kama una card ya benk visa au master card kiroho safibro umelipia kwa kutumia nn
Nimelipa kwa mpesa master card au kama una card ya benk visa au master card kiroho safi
Halotel hawana ni voda tuhv halotel hawana hiyo huduma
Wote quality za bidhaa ni hovyoNimewahi kuagiza bidaa mara tatu kupitia kikuu mzigo ulifika ndani ya week mbili na nusu, sema quality ya bidhaa zao ni Mbovu Sana..
Jumia bado sijafanya manunuzi huko naomba aje hapa atuelezee.
View attachment 1245967Ndege imepotea, 8 days kutoka China to DSM na bado haijafika
Halotel hawana ni voda tu