Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,385
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kwenye harage la njano lililoungwa na mawese umenifanya tumbo liungurume ghafla kwa njaaSiku hizi tunaambiwa yana chorestrol nyingi wakati miaka yote watu wanayala. Halafu mawese yakiungwa kwenye maharage ya Kigoma (njano orijino ) ni hatari lkn salama.
Vv
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah!! Niliwahi kufika Singunga nilikula migebuka + dagaa wa bichi + kavungweWakazi wa vijiji vya Herembe, sigunga, kapalamsenga, Mgambo, Igarura au kibirizi, Mwamgongo watakua wanajua iki kitu.. kinaitwa MBANI hapo dagaa zinachomwa zikiwa na pilipili kichna chumvii
client3
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Kigoma acha kabisa mkuu, binafsi nimezaliwa na kukulia dar kabila (mmanyema) lakini marehemu Bibi alikua akija nyumbani basi lazima aje na zagazaga zote za kigoma.Daah!! Niliwahi kufika Singunga nilikula migebuka + dagaa wa bichi + kavungwe
Yaani kigoma rahaa sana mkuuKigoma acha kabisa mkuu, binafsi nimezaliwa na kukulia dar kabila (mmanyema) lakini marehemu Bibi alikua akija nyumbani basi lazima aje na zagazaga zote za kigoma.
Sasa, usiombe akaingia yeye jikoni kufanya mavuga, yaani ukisikia Ile harufu basi lazima njaa ikuume.
Like dagaa la chukuchuku alafu likakaushwa kwa kufunikwa na mkaa kwa juu ulipatie na ugali wa muhogo, na kisamvu Cha mawese. Mbona utavimbiwa bandugu .
Panaitwa "Nguruka "mkuu, samaki wa pale watam sanaAyayaaaaa mkuu hiki kitu kinavuliwa kule kwa maharamia wa treni.. Wapii kule pamenitoka kijiji kinachofuata baaada ya malagarasi kama unavuka na basi.. kuna kambale kinoma
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
dagaa wabichi hao (mteke),Natupa TIP...
Lile dagaa lakufunikwa kwa mkaa kwa juu kama ukilipiga kwa sembe au dona, hakikisha kila ukipeleka dagaa kinywani basi mix na vile vinyanya Kisha sindikiza na tonge.
LAKINI kama ukiwa na ugali wa muhogo wenyewe hakuna haha ya hiyo mbwembwe, utakua unasikilizia tonge tu likipota kooni "chubwiii"
Hata kutafuna hutafuni
We kweli wa kigoma hilo jina premji linanikumbusha Mzee seleman premji mbunge wa zamani kigoma mjiniKigoma acha kabisa mkuu, binafsi nimezaliwa na kukulia dar kabila (mmanyema) lakini marehemu Bibi alikua akija nyumbani basi lazima aje na zagazaga zote za kigoma.
Sasa, usiombe akaingia yeye jikoni kufanya mavuga, yaani ukisikia Ile harufu basi lazima njaa ikuume.
Like dagaa la chukuchuku alafu likakaushwa kwa kufunikwa na mkaa kwa juu ulipatie na ugali wa muhogo, na kisamvu Cha mawese. Mbona utavimbiwa bandugu .
Azim premjiWe kweli wa kigoma hilo jina premji linanikumbusha Mzee seleman premji mbunge wa zamani kigoma mjini
We ni maniema wa kigoma? Karibu maniema huku RDC kwenye asili
Jina lilinitoka aisee ndo hapo hao mkuudagaa wabichi hao (mteke),
Kwakweli siku moja nitajitahidi kitembelea huko, maana Mishe za town zimebana kinoma ukitoka lazima office ifungwe.We kweli wa kigoma hilo jina premji linanikumbusha Mzee seleman premji mbunge wa zamani kigoma mjini
We ni maniema wa kigoma? Karibu maniema huku RDC kwenye asili
Jitahidi mkuu huta jutaKwakweli siku moja nitajitahidi kitembelea huko, maana Mishe za town zimebana kinoma ukitoka lazima office ifungwe.
This December nitapiga road trip kaka, wewe upo huko homeland?Jitahidi mkuu huta juta
Vs Dr KaborouAzim premji
umenikumbusha mbali mkuu,Vs Dr Kaborou
Hahahaha hatari mkuu kigoma ilikua haitoshiumenikumbusha mbali mkuu,