Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeacha Sinuka, Kasuku, Katonga na Kalalangabo.Wakazi wa vijiji vya Herembe, sigunga, kapalamsenga, Mgambo, Igarura au kibirizi, Mwamgongo watakua wanajua iki kitu.. kinaitwa MBANI hapo dagaa zinachomwa zikiwa na pilipili kichaa na chumvii moto wake usiuchezew wanjua
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Dogo, unataka kutuaminisha kuwa Kigoma yote ni wachawi? Mbona wengine tumeishi huko miaka mingi tu na uchawi haijuwahi kutupata?Daah Kwakweli pasingekua uchawi nisingehama kigoma
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Ivilingwa!!!Dah mwez wa 8 narud kwetu alaaa kigoma
Hii itakua njia ya kwenda kibirizi, naiona ocean view kwa mbaliiiUkisikia kigoma mwisho wa reli sio mwisho hapanaa.. ndio mwanzo wa mambo mazuri ya kuvutia na kupendeza.. kigoma iliyobarikiwa vipaji, elimu, mazao mbalimbali mbalimbali kutoka majini na nchi kavu...
Haka kauzi ni maalumu kwa ajili ya kuonyesha chukala asilia cha watu wa kigoma.
KARIBUNI KIGOMA
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Sanaaa, hayo ndio mapigo yangu
Kwtu tunaita Bundula.
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Ujiji, hata mimi nimemiss migebuka, dagaa wa mawesse na ugaliNimemiss hvo vtu. Eneo gani ulikua
Kibirizi = Cool breezeHii itakua njia ya kwenda kibirizi, naiona ocean view kwa mbaliii
Mimi nilikwenda kikazi kwa muda fulani baadae nikaondokaWoow ukute ww mbembe
Mi mawese nilishindwa, kuna demu wa kikongo nilikua nae basi menyu ni kisamvu nyama mawese,kisamvu samaki mawese daily nikatoka baruSiku hizi tunaambiwa yana chorestrol nyingi wakati miaka yote watu wanayala. Halafu mawese yakiungwa kwenye maharage ya Kigoma (njano orijino ) ni hatari lkn salama.
Vv
Sent using Jamii Forums mobile app