okMtakie mabaya mtu yoyote anayekukera mpaka unakosa raha. Naamini kwa kufanya hivyo, roho yako utakua sawa.
Karibuni
Apige nyeto mkuu sio mihayoMkuu ume quote kauzi kwangu kisa kusema ok?
Hakika lazima nikutakie mabaya
Uwe unapiga miayo muda wote
mkuu umequote reply yangu ili untakie mabaya walahi utakuwa unakojoa kila saa 😝😝😝Mkuu ume quote kauzi kangu kisa kusema ok?
Hakika lazima nikutakie mabaya
Uwe unapiga miayo muda wote
Mkuu nakutakia mabaya Uzi wako ufutweMtakie mabaya mtu yoyote anayekukera mpaka unakosa raha. Naamini kwa kufanya hivyo, roho yako utakua sawa.
Karibuni