Naamini wote tangazo tuliliona ? Na wote tunajua kusoma na tulilisoma vizuri , nasisitiza tena walimu wa arts geography , Kiswahili , history sijui Economics mlikuwa hamuitajiki hili lazima tuliseme tena tafadhari tusingependa kuona lawama zisizo na msingi ,hapa lazima wote tuelewane asanteni .
 
Naamini wote tangazo tuliliona ? Na wote tunajua kusoma na tulilisoma vizuri , nasisitiza tena walimu wa arts geography , Kiswahili , history sijui Economics mlikuwa hamuitajiki hili lazima tuliseme tena tafadhari tusingependa kuona lawama zisizo na msingi ,hapa lazima wote tuelewane asanteni .
Vip wa English babu kwa waliomaliza 2018
 
Mzee hizi ajira tunasema tuuh but demand inaweza kubadilikaaa hataa wa arts wanawezaa kuajiriwaa piaa mzee kikubwa tuuh Kutokataa tamaaa na kumuombaa Mungu incase ukipata na ukikosaa Mungu ana njiaa nyng za kukufanyaa uajiriwe regardless ya hii tamisemii
Wangapii leo hiii wanafanyaa ajiraaa lakn ni tofaut na walichosomeaa na wanakulaa mshahara mnono tuuh tofaut na wenzao waliosoma pamoja
 
Kuna nini hapa
Screenshot_20230605-133550.jpg
 
Naamini wote tangazo tuliliona ? Na wote tunajua kusoma na tulilisoma vizuri , nasisitiza tena walimu wa arts geography , Kiswahili , history sijui Economics mlikuwa hamuitajiki hili lazima tuliseme tena tafadhari tusingependa kuona lawama zisizo na msingi ,hapa lazima wote tuelewane asanteni .
Unachuki binafsi na hao watu sio kwa kusisitiza hivi
 
Back
Top Bottom