Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Naomba kufahamu naweza kupata wapi samaki sato na sangala mwanza kwa bei ya jumla anaefahamu anicheki hata PM
 
Wakuu mwenye connection na kampuni za Solar afanye mpango, nataka kuwa wakala wao. Uwezo mkubwa sana wa kupambana na kutafuta wateja vijijini upo. CC: Zola, Mobisol, Sundar nk
 
Naombeni mnisaidie kupata connection wanapouza mashine za kutengeneza lamba lamba za stick kwa Dar es salaam.
Karibu sana tunaziuza ndugu na unapewa waranti ya mwaka mmoja tunapatikana hapa kariakoo mtaa wa masasi na msimbazi karibu sana maelezo zaidi sms/whatsapp 0774150519
 
117 Reactions
Reply
Back
Top Bottom