Love Doctor
JF-Expert Member
- Jun 28, 2016
- 718
- 780
UnauzajeNaomba mwenye connection ya soko la tangawizi jaman mzgo upo wa kutosha kbsa toka kigoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UnauzajeNaomba mwenye connection ya soko la tangawizi jaman mzgo upo wa kutosha kbsa toka kigoma
Bei unauzaje? Na vp nikikupa mteja utaweza kumletea hapa Dsm??Naomba mwenye connection ya soko la tangawizi jaman mzgo upo wa kutosha kbsa toka kigoma
Utanunua kwa sh ngap nikupe connectionNahitaji Asali ambayo haijawa processed kwa Bei ya Jumla.. kama litre 20 hv
Location: Mbeya
La chuma au la mbaoNahitaji banda la biashara mwenye nalo
0687886600
Connection mkuu tafadhali.Kama unataka viatu vya mtumba na jinsi njoo Uganda huku utapata mtumba grade 1
Mlimba ni mkoa gani?Njoo Mlimba kuna kijiji kinaitwa idui kuna kuku Hadi wa elfu tano.
Weka noUkiwa tayari nicheki nikuunganishe na mtu yupo kariakoo duka la jumla atakupa viomboo kwa Bei Chee mpaka utashangaa
Chukua box la raster utaona mawasiliano then wapigie mkuuNataka kujua nyewle aina za rasta kwa jumla zinapatikana wapi? Najua zinauzwa kariakoo ila na wao huwa wananunulia wapi?
Bado hizi bei zipo?kama bado hujapata mkuu karibu mufindi bei ni kama ifuatavyo 2×2=500 2×4=2800 2×6=3800 1×8=5000 1×10=7000 hizi ndizo zenye uhitaji sana huko dar,dom,mwanza,maswa,bariadi nk
Karibu sana tunaziuza ndugu na unapewa waranti ya mwaka mmoja tunapatikana hapa kariakoo mtaa wa masasi na msimbazi karibu sana maelezo zaidi sms/whatsapp 0774150519Naombeni mnisaidie kupata connection wanapouza mashine za kutengeneza lamba lamba za stick kwa Dar es salaam.
Connection ipi unataka mkuu fungukaConnection mkuu tafadhali.
Ninaitengeneza mkuu karibu sana 0763542515
Ninaitengeneza mkuu karibu sana 0763542515Wakuu mashine ya kupukuchua mahindi bei gani kwa anayefahamu tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app