kj75
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 490
- 589
Unauza reja reja au jumla mkuuMimi nauza dagaa wazuri kutoka mwanza anaehitaji anicheki tufanye biashara
Unauza reja reja au jumla mkuuMimi nauza dagaa wazuri kutoka mwanza anaehitaji anicheki tufanye biashara
Bei iko chini sana ukiweza kufika 2000/ltr tuwasiliane nipo MoshiNatafuta mtu anaeuza maziwa mtindi ya kienyeji kwa bei nzuri angalau shillingi 500-600 kwa lita moja. awe mkoa wowote ule ambao una mabasi ya kuja Dar.
contact 0687886600
Atauzaje kwa Dar?Bei iko chini sana ukiweza kufika 2000/ltr tuwasiliane nipo Moshi
Kama ni taasisi haina tatizo. Makubaliano tu
160,000Kilo mia bei gani? Mchele
bei gani hao kukuWakubwa kabisa
Mzigo wako uko wapi?
Sanya juu, Ngarenairobi West Kilimanjaro!Mzigo wako uko wapi?
maharage yako ni ya aina gani? na unauzia wapiNahitaji connection ya soko la nafaka maharage dengu na choroko.
tuma namba zako PMNahitaji connection ya soko la nafaka maharage dengu na choroko.
Mimi nna maziwa mtindi natural kabisa ..1lt 3000 ..5L @15000 mpaka mlangoni nakuleteaNatafuta mtu anaeuza maziwa mtindi ya kienyeji kwa bei nzuri angalau shillingi 500-600 kwa lita moja. awe mkoa wowote ule ambao una mabasi ya kuja Dar.
contact 0687886600
nahitaji wa biashara mkuu nije kuuza dar es salaamWakubwa kabisa
Mkuu kama unahitaji dagaa ninao, nauza kwa jumla kama unahitaji nicheki tufanye biasharaUnauza reja reja au jumla mkuu