Me too
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,325
- 9,184
Moja ni mil10Zinaanzia bei gani mkuu
Moja ni mil10Zinaanzia bei gani mkuu
Duuh! Million kumiMoja ni mil10
Unatakaje?Duuh! Million kumi
Nipe namba yako mkuu.Nauza vitunguu swaumu grade A kutoka Manyara kwa bei ya jumla gunia kg 100 nauza tzs 450k sample nakutumia kwa gharama zangu kwa Dar~es~salaam na mikoani utanipa details za usafiri wa huko then nitakutumia sample, nipe connection upate commission...Karibuni
Nicheki PM mkuuNipe namba yako mkuu.
Weka namba yako hadharani.... Pm ya nn sasa?Nicheki PM mkuu
Don't mind mr, 0625071360, karibuWeka namba yako hadharani.... Pm ya nn sasa?
zipo ndizi za kutosha mkoa kagera tunahitaji mwekezaji tushirikiane kumenya na kukausha kwa matumizi ya baadae na kusaga unga kutengeneza bidhaa mbalimbali ,maganda ya ndizi pia yanatengeneza gesi kama kinyesi cha ng'ombe.mradi huu unalipa sana pia wa kudumu, hivyo ndizi kavu zitasafirishwa kama makopa hadi kiwandani.vifaa vya kumenya vinapatikana mitaani hapa na kenya kutoka china,Tafadhali wasiliana nasi 0623225404Kama kichwa cha habari kinavyo someka ningependa uzi huu uwe maalum kwa kupeana connection mbalimbali za biashara. Biashara bila connection unaweza fanya bila mafanikio, hivyo basi ni vizuri tupeane connection mbalimbali za biashara.
Uzi huu utumike kuwakutanisha watu mbalimbali katika biashara tofauti tofauti na mwisho wa siku kupeana connection za biashara kutokana na ombi la muhusika. Wapo watu mbalimbali Katika duniani hii wana mitaji mizuri tu lakini kutokana na kuto kuwa na connection wametulia na mitaji yao. Hivyo basi uzi huu uwe msaada kwao.
Elezea unahitaji connection ipi katika biashara kisha subiri kupewa connection na wahusika katika biashara hiyo. Lengo ni kusaidiana na si vinginevyo. Tuweke roho mbaya pembeni kisha tuungane pamoja katika gurudumu la maendeleo.
Wadau karibuni katika uzi huu tupeane connection za biashara.
uko wapi anayetaka kuku kienyeji taja namba yako au emailUpo wapi
Weka contact zako mkuuNina tani 30 za soya natafuta mteja ,anayehitaji aje tuyajenge
Ni mimi sijaelewa au!?? 70k mean 70,000!??????Earphones kali na zakijanja ni 70k zina bluetooth napatikana dar es salaam... Mkoani pia natuma. Contact 0768689812
WhatsApp 0654859448
zipo ndizi za kutosha mkoa kagera tunahitaji mwekezaji tushirikiane kumenya na kukausha kwa matumizi ya baadae na kusaga unga kutengeneza bidhaa mbalimbali ,maganda ya ndizi pia yanatengeneza gesi kama kinyesi cha ng'ombe.mradi huu unalipa sana pia wa kudumu, hivyo ndizi kavu zitasafirishwa kama makopa hadi kiwandani.vifaa vya kumenya vinapatikana mitaani hapa na kenya kutoka china,Tafadhali wasiliana nasi 0623225404